Video: Hivi "vetting" hufanyika kweli kabla ya uteuzi wa viongozi? msikilize Kenani Kihongosi akitetea kitendo chake cha kucharaza viboko watu...

Kabla ya Kukimbilia Kumlaumu huyu DC nasi tujiulize je, Kizazi cha sasa na Sisi Wazazi pia tunazingatia Maadili yetu na bado tunao Uzalendo pia?
 
Kama swala ni wizi hiyo ni kazi ya polisi sasa sijui DC katoka wapi na mambo hayo ambayo yalipaswa kushughulikiwa na Polisi.

Watu wengine wanakipa shida Chama kujieleza mbele za wananchi.
 
kama kawaida Majungu majungu na fitina ndio tabia ya watanzania walio wengi, hivi hii tabia itakoma lini?

nakumbuka Mhe. Rais Mstaafu Kikwete aliwahi kukiri hadharani kuwa ktk utawala wake aliwahi kumfukuza kiongozi mmoja lkn badae alibaini yalikuwa majungu!!!

Majungu na Fitina yasipewe nafasi na viongozi wenye mamlaka maaana mnaweza kuonea watu wasio na hatia. wapiga majungu ni watu wazoefu sana
 
Sifa kuu iliyofanya huyu kijana aliyekuwa kiongozi wa UVCCM Iringa kuteuliwa kuwa DC ni kitendo chake cha kishujaa cha kutamka hadharani na kuahidi Kuwauwa wanasiasa wa upinzani waliokuwa wanamkosoa Magufuli , uko uzi humu jf uliongelea jambo hilo.

Sasa wewe mwenyewe jaribu kufikiria wateule wa aina hii na sifa zao
 
Oya wamekufanyaje mkuu?
 
Sijui kama hata mwenyewe umeelewa ulichoandika.
 

Hii chapa 666 wanapigwaje? [emoji15]
 
Ila Kama sikosei boss wewe hapo kabla ulikuwa mtu wa kumsifia Magufuli Kila afanyacho...imekuwaje tena hapa unamuombea mabaya!?!!?
 
Na wewe fanya tu, wengine wataona umefanya ujinga na utakula hamsa sita mbele ya mumeo au mkeo ama watoto wako...!!
sasa hao wanaonunua chuma chakavu, watanunuaje kiti cha chuma kwa sh 500
si ndio wanafundisha wizi uongezeke, unaambia nizaidi ya 100,000/ sasa hapo hata sign za barabarani zinazoongoza magari watanunua 200/

Mkuu wa Wilaya nimemsifu hapo kuna kipindi acheni tuongozwe na viboko mbele ya wake zetu tutaacha wizi
 
Nimemuelewa sana kuna watu wanakera sana chapa tu, walichofanya hao jamaa ni ujinga unaokera mno.

Tena angewatandika na wire ndio ingefaa zaidi badala ya fimbo.
Na wewe fanya tu, wengine wataona umefanya ujinga na utakula mboko za waya mbele ya mumeo au mkeo ama watoto wako au dem wako ama baba yako au mama yako!!!!
 
Nimemuelewa sana kuna watu wanakera sana chapa tu, walichofanya hao jamaa ni ujinga unaokera mno.

Tena angewatandika na wire ndio ingefaa zaidi badala ya fimbo.
Yani kenge mmoja aje anichape viboko namtoboa macho ndio atajua hajui.
 
Kwa hiyo Mkuu tuendelee kukaa kimya kwakuwa siyo sisi tuliocharazwa viboko hadi pale zamu yetu itakapowadia ndiyo tupige kelele siyo??
 
atuambie kwanza hiyo monitor ya inchi 15 alinunua bei gani? πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Kama swala ni wizi hiyo ni kazi ya polisi sasa sijui DC katoka wapi na mambo hayo ambayo yalipaswa kushughulikiwa na Polisi.

Watu wengine wanakipa shida Chama kujieleza mbele za wananchi.
stroke , tukiwaambia CCM imeshindwa kila kitu, mnatuambia sisi sio wazalendo.

Huyo ni zao la CCM ya JPM.
JPM ndiye aliyemteua, ndiye mwenye mamlaka ya kutengua uteuzi wake.

Kukaa kwake kimya maana yake ni nini!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…