Video: Hizi ndio akili za bodaboda

Video: Hizi ndio akili za bodaboda

Prakatatumba abaabaabaa

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2022
Posts
1,842
Reaction score
6,087
Wakuu tunajua bodaboda wanatusaidia sana kwa usafiri wa uhakika lakini ukitaka kupanda boda kwanza angalia umri wake, wapo bodaboda ambao ni smart kidogo, ila hawa vijana wanyoa viduku Dah? Ukipanda mwambie akuendeshe kwa speed ya polepole, umpe masharti kabla hujapanda hiyo bodaboda yake.

Alafu kwanini ajari nyingi za bodaboda huwa ni Arusha? Au kwasababu ya bangi zao?

 
Wakuu tunajua bodaboda wanatusaidia sana kwa usafiri wa uhakika lakini ukitaka kupanda boda kwanza angalia umri wake, wapo bodaboda ambao ni smart kidogo, ila hawa vijana wanyoa viduku Dah? Ukipanda mwambie akuendeshe kwa speed ya polepole, umpe masharti kabla hujapanda hiyo bodaboda yake.

Alafu kwanini ajari nyingi za bodaboda huwa ni Arusha? Au kwasababu ya bangi zao?
Arusha moja hii Chali angu😂
 
mwenye mb za kutosha afungue atuambie au nasubiria comments hapo chini Poor Brain
Jamaa kamfumua ubongo huyo Boda alieingia chini ya uvungu wa Gari yake na Boda yake kufumua mbele ya Gari lake Ila cha kwanza ni kusema 'umeniharibia Gari yangu' kwa sauti ya kichaga hajali km Boda amekufa au bado yupo Hai maana damu zimeruka vibaya sana Lami imechafuka
 
Jamaa kamfumua ubongo huyo Boda alieingia chini ya uvungu wa Gari yake na Boda yake kufumua mbele ya Gari lake Ila cha kwanza ni kusema 'umeniharibia Gari yangu' kwa sauti ya kichaga hajali km Boda amekufa au bado yupo Hai maana damu zimeruka vibaya sana Lami imechafuka
Ilikuaje mpaka akaenda kujigonga kwenye gari la pili?
 
Jamaa kamfumua ubongo huyo Boda alieingia chini ya uvungu wa Gari yake na Boda yake kufumua mbele ya Gari lake Ila cha kwanza ni kusema 'umeniharibia Gari yangu' kwa sauti ya kichaga hajali km Boda amekufa au bado yupo Hai maana damu zimeruka vibaya sana Lami imechafuka
Duuuh ndo nimeiona mana ilikua inakataa...
Boda alikua ana overtake aiseee
 
Back
Top Bottom