Prakatatumba abaabaabaa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2022
- 1,842
- 6,087
Hamna kitu hapo......mwenye mb za kutosha afungue atuambie au nasubiria comments hapo chini Poor Brain
Mb 2 tu, wewe kweli mwananchi mnyongemwenye mb za kutosha afungue atuambie au nasubiria comments hapo chini Poor Brain
Mengine ni upuuzi hatuna mb za kupoteza kwan kuna jipya basiii? Nani hajui akili za boda? wewe ndio mnyonge wa kuwaza na kuleta uzi humu. Poor BrainMb 2 tu, wewe kweli mwananchi mnyonge
Arusha moja hii Chali anguπWakuu tunajua bodaboda wanatusaidia sana kwa usafiri wa uhakika lakini ukitaka kupanda boda kwanza angalia umri wake, wapo bodaboda ambao ni smart kidogo, ila hawa vijana wanyoa viduku Dah? Ukipanda mwambie akuendeshe kwa speed ya polepole, umpe masharti kabla hujapanda hiyo bodaboda yake.
Alafu kwanini ajari nyingi za bodaboda huwa ni Arusha? Au kwasababu ya bangi zao?
ππππππππππMengine ni upuuzi hatuna mb za kupoteza kwan kuna jipya basiii? Nani hajui akili za boda? wewe ndio mnyonge wa kuwaza na kuleta uzi humu. Poor Brain
Sawa mbona hasira? Umekula mchana kweli kaka?Mengine ni upuuzi hatuna mb za kupoteza kwan kuna jipya basiii? Nani hajui akili za boda? wewe ndio mnyonge wa kuwaza na kuleta uzi humu. Poor Brain
Ngoja makonda awanyoosheArusha moja hii Chali anguπ
bora To yeye uje tuuchome huu uziππππππππππ
Vijana wa boda au machizi bolt akili zao hovyo sana..
Ni kweli mkuu hakuna jipya kwa sasa kuhusu hao vijana
Jamaa kamfumua ubongo huyo Boda alieingia chini ya uvungu wa Gari yake na Boda yake kufumua mbele ya Gari lake Ila cha kwanza ni kusema 'umeniharibia Gari yangu' kwa sauti ya kichaga hajali km Boda amekufa au bado yupo Hai maana damu zimeruka vibaya sana Lami imechafukamwenye mb za kutosha afungue atuambie au nasubiria comments hapo chini Poor Brain
Sina neno kabisa πππβ β β βbora To yeye uje tuuchome huu uzi
abaaabaaabaaa prakatumbax4 Poor BrainSawa mbona hasira? Umekula mchana kweli kaka?
Ilikuaje mpaka akaenda kujigonga kwenye gari la pili?Jamaa kamfumua ubongo huyo Boda alieingia chini ya uvungu wa Gari yake na Boda yake kufumua mbele ya Gari lake Ila cha kwanza ni kusema 'umeniharibia Gari yangu' kwa sauti ya kichaga hajali km Boda amekufa au bado yupo Hai maana damu zimeruka vibaya sana Lami imechafuka
Etumbaa etumbaaa.abaaabaaabaaa prakatumbax4 Poor Brain
Duuuh ndo nimeiona mana ilikua inakataa...Jamaa kamfumua ubongo huyo Boda alieingia chini ya uvungu wa Gari yake na Boda yake kufumua mbele ya Gari lake Ila cha kwanza ni kusema 'umeniharibia Gari yangu' kwa sauti ya kichaga hajali km Boda amekufa au bado yupo Hai maana damu zimeruka vibaya sana Lami imechafuka