Janerose mzalendo
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 3,881
- 2,813
Tanzania ndiyo inayoongoza kwa ajali barabarani.Hili halina ubishi ndugu yanguMkuu umepiga Vyombo, Tatizo leo umeanza mapema sana[emoji2]
mimi Iringa huwa nakamua masaa 6 hadi 7 maximum, ni Km500 toka Dar,
Ukitoka dar saa 12 asubuhi saa 6 upo Iringa, Huyo jamaa yako alilala wapi?
Huna hoja kelele tu kama kifaranga
Kuna chizi la kikenya linasema hizo buses ni made in Mombasa!Someni comments hapo chini ya hiyo video uone jinsi raia wa nchi mbalimbali walivyopagawa, wakioongozwa na wakenya kama kawaida. Tanzania leads the way always.
Hallo jirani poa sana Kiswahili chako safi kabisa, Kumbe tunaelewana fresh tu hna shida.Ndio yale yale ya siku zote, Watanzania hupelekeshwa kwa mpigo mmoja. Kitu kama hiki hauwezi kukiona huku Kenya maana hamna sheria ya kuzuia muda wa mabasi kusafiri. Kwa Bongo huwa inabidi mabasi ya mikoani yatoke yote muda wa masaa ya asubuhi ili yasafiri mchana wote na kufika mida ya saa mbili hadi saa nne usiku, la sivyo yanalazimishwa kuegeshwa pembeni abiria wanalala njiani.
Kuna mshikaji wangu juzi amesafiri kwenda Iringa tokea Dar, ilibidi basi liegeshwe walale njiani, sheria za ajabu hizo.
Niliwahi kusafiri kwenda Arusha, tulitoka Dar kama tumechelewa mida ya saa saba, iltulazimu kulala Moshi, ilinibidi kukodi chumba maana upumbavu wa kulala kwenye basi siwezi.
Kwa Kenya, usafiri wa usiku ni ruksa, hivyo hamna haya mahangaiko ya kusongamana, mabasi yanaondoka muda wowote.
Ooh !!!! Akitaka kuingia JF mpaka atinge Uhuru Park? Na pia itakuwa na hapo wana dandia juu kwa ju WIFI ya lile bonge la hotel pale juu.Huwa hawatizami videos tatizo bando hadi waende uhuru park.
Acha uongo huku Tz mikoa 4 tu ndo mabasi hayasafiri masaa 24, huyo alikudanganya mkoa wa Iringa haumo katika hiyo mikoa ambayo mabasi yanasafiri mwisho saa 6 usikuNdio yale yale ya siku zote, Watanzania hupelekeshwa kwa mpigo mmoja. Kitu kama hiki hauwezi kukiona huku Kenya maana hamna sheria ya kuzuia muda wa mabasi kusafiri. Kwa Bongo huwa inabidi mabasi ya mikoani yatoke yote muda wa masaa ya asubuhi ili yasafiri mchana wote na kufika mida ya saa mbili hadi saa nne usiku, la sivyo yanalazimishwa kuegeshwa pembeni abiria wanalala njiani.
Kuna mshikaji wangu juzi amesafiri kwenda Iringa tokea Dar, ilibidi basi liegeshwe walale njiani, sheria za ajabu hizo.
Niliwahi kusafiri kwenda Arusha, tulitoka Dar kama tumechelewa mida ya saa saba, iltulazimu kulala Moshi, ilinibidi kukodi chumba maana upumbavu wa kulala kwenye basi siwezi.
Kwa Kenya, usafiri wa usiku ni ruksa, hivyo hamna haya mahangaiko ya kusongamana, mabasi yanaondoka muda wowote.
wakikujibu NITAGWapi Nairobi?
DAR-MORO 492KM hiyo gari gani inalala njiani mkuu wakati Dar-Iringa ni karibu sana.Najua umetokea Iringa na unayajua haya sema unajitoa ufahamu, watakuja hapa Wahehe wakutulize.
Mshikaji wangu wa kwenu huko Mhehe, tulikua tunachat naye muda wote mpaka wanasimamishwa na mapolisi hadi likaegeshwa walale.
Wapi Nairobi?
HahaaKuna chizi la kikenya linasema hizo buses ni made in Mombasa!
Ooh !!!! Akitaka kuingia JF mpaka atinge Uhuru Park? Na pia itakuwa na hapo wana dandia juu kwa ju WIFI ya lile bonge la hotel pale juu.
Wewe kweli. Kichwanazi na unatunga hadithi tuu hapa... Gari inatoka dar inafika iringa saa 8:30 mchana unasema imelala njiani.. Arusha gari ya kwanza inafika saa 10 jioniNdio yale yale ya siku zote, Watanzania hupelekeshwa kwa mpigo mmoja. Kitu kama hiki hauwezi kukiona huku Kenya maana hamna sheria ya kuzuia muda wa mabasi kusafiri. Kwa Bongo huwa inabidi mabasi ya mikoani yatoke yote muda wa masaa ya asubuhi ili yasafiri mchana wote na kufika mida ya saa mbili hadi saa nne usiku, la sivyo yanalazimishwa kuegeshwa pembeni abiria wanalala njiani.
Kuna mshikaji wangu juzi amesafiri kwenda Iringa tokea Dar, ilibidi basi liegeshwe walale njiani, sheria za ajabu hizo.
Niliwahi kusafiri kwenda Arusha, tulitoka Dar kama tumechelewa mida ya saa saba, iltulazimu kulala Moshi, ilinibidi kukodi chumba maana upumbavu wa kulala kwenye basi siwezi.
Kwa Kenya, usafiri wa usiku ni ruksa, hivyo hamna haya mahangaiko ya kusongamana, mabasi yanaondoka muda wowote.
Kiazi huyo ashakunywa Yokozuna huyo Gari ya mbeya tu inafika saa 12 usiku. Eti inalala njianiSafari ya Dar Iringa alilala njiani? Mzee Ushapiga vitu vyako mapema namna hii?
Na kwa basi saa8:30 mchana ishainhia Iringa ulizia Newforce Luwinzo na Njombe express aache kupuyanga tuuMkuu umepiga Vyombo, Tatizo leo umeanza mapema sana[emoji2]
mimi Iringa huwa nakamua masaa 6 hadi 7 maximum, ni Km500 toka Dar,
Ukitoka dar saa 12 asubuhi saa 6 upo Iringa, Huyo jamaa yako alilala wapi?
Jibo kihoja mada sio Kuroka ropoka kujifanya mjuaji kumbe kopo tuWewe kwanza ndio sijui huwa mnasafiri siku ngapi kabla kufika kwenu kwa Warundi.