Video: How busy is Ubungo bus Terminal?

Video: How busy is Ubungo bus Terminal?

Nairobi haina hizi sana sababu watu wengi wana magari yao binafsi. This Tz bus station is just busy because of poverty waTz can't afford cars halafu ona vile mahali pale Ubungo pachafu sana.
That's the most stupidiest defence I have ever heard! So 100% of people in Nairobi r having their private cars! No what r matatus doing in ur streets?
 
Soon patabadilika sana hapo interchange na ile project itayoreplace hilo eneo la stendi baada ya kuhamia Mbezi kwny stendi mpya na ya kisasa kbs.Nilichokinote hapo watanzania tuna mabasi mazuri kusema kweli.Bravo kwa watoa huduma wote.
 
Hata sisi tuliwapa msaada kule Mwanza so we still richer than you nincompoops. Weka nyingine nami niweke....bure kabisa
Ulimpa nan msaada kuku maji weweee??!!!!
Au zile rambi rambi hela ya mboga ndio msaada
 
Wewe kweli una akili timamu? Mbona Ubungo,Manzese na Kijitonyama kunakaa vile? Mbona mnaua albinos kwa wingi vile? Mbona ndege zenyu chache zinatekwa na mataifa mbali mbali?
Albino hawauliw hzo past news hamuelewi mkiambiwa mlete current news.
Kijitonyama usifananishe na huo uchafu wa slums za kwenu.
Maybe hukuwahi fika
 
Nchi ya asali na maziwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Matajiri[emoji2][emoji2]
View attachment 1197068
Screenshot_20190904-173201_Lite.jpeg
 
Ndio yale yale ya siku zote, Watanzania hupelekeshwa kwa mpigo mmoja. Kitu kama hiki hauwezi kukiona huku Kenya maana hamna sheria ya kuzuia muda wa mabasi kusafiri. Kwa Bongo huwa inabidi mabasi ya mikoani yatoke yote muda wa masaa ya asubuhi ili yasafiri mchana wote na kufika mida ya saa mbili hadi saa nne usiku, la sivyo yanalazimishwa kuegeshwa pembeni abiria wanalala njiani.
Kuna mshikaji wangu juzi amesafiri kwenda Iringa tokea Dar, ilibidi basi liegeshwe walale njiani, sheria za ajabu hizo.
Niliwahi kusafiri kwenda Arusha, tulitoka Dar kama tumechelewa mida ya saa saba, iltulazimu kulala Moshi, ilinibidi kukodi chumba maana upumbavu wa kulala kwenye basi siwezi.

Kwa Kenya, usafiri wa usiku ni ruksa, hivyo hamna haya mahangaiko ya kusongamana, mabasi yanaondoka muda wowote.
Uko exposed ila safari ya Dar iringa hata mimi ntakushangaa ulale njiani kivipi umbali wa 500 km na barabara inalami vizur tu...Dar -mbeya 850 km na watu wanafika saa mbili usiku wewe apo Iringa kuna nn?
 
Uko exposed ila safari ya Dar iringa hata mimi ntakushangaa ulale njiani kivipi umbali wa 500 km na barabara inalami vizur tu...Dar -mbeya 850 km na watu wanafika saa mbili usiku wewe apo Iringa kuna nn?

Hehehe!! Hii kuna sehemu nimeiweka vizuri baada ya kurejelea chat zangu na mdau niliyekua namsema, ni kwamba walichomoa Ubungo mchana, wakabanwa Kitonga usiku na mipolisi ambayo haikuruhusu kuendelea zaidi ya hapo.

Lakini mimi imenitokea pia, niliabiri basi la mchana kutoka Ubungo kwenda Arusha, tukaishia kulala Moshi, kwanza ilikua tuzuiwe pale Himo ila polisi wakagombana wenyewe, maana mmoja alikua anasisitiza liegeshwe wenzake wakakatalia na kuamuru dereva alipeleke hadi Moshi.
Nililala hotelini na kuomba mhudumu aniamshe mapema niliwahi kabla halijaondoka kwenda Arusha.
Kwa Kenya ni ruksa kuondoka muda wowote na kufika saa yoyote.
 
Hehehe!! Hii kuna sehemu nimeiweka vizuri baada ya kurejelea chat zangu na mdau niliyekua namsema, ni kwamba walichomoa Ubungo mchana, wakabanwa Kitonga usiku na mipolisi ambayo haikuruhusu kuendelea zaidi ya hapo.

Lakini mimi imenitokea pia, niliabiri basi la mchana kutoka Ubungo kwenda Arusha, tukaishia kulala Moshi, kwanza ilikua tuzuiwe pale Himo ila polisi wakagombana wenyewe, maana mmoja alikua anasisitiza liegeshwe wenzake wakakatalia na kuamuru dereva alipeleke hadi Moshi.
Nililala hotelini na kuomba mhudumu aniamshe mapema niliwahi kabla halijaondoka kwenda Arusha.
Kwa Kenya ni ruksa kuondoka muda wowote na kufika saa yoyote.

Polisi usiku kitonga? Hivi unajua kitonga ni Porini? Na kuna sehemu pia umesema gari iliharibika. Unajua ukiwa mwongo uwe na Memory Nzuri.
Gari ya Iringa ya Mwisho inatoka saa 6 mchana na inafika iringa Saa 2,
 
Polisi usiku kitonga? Hivi unajua kitonga ni Porini? Na kuna sehemu pia umesema gari iliharibika. Unajua ukiwa mwongo uwe na Memory Nzuri.
Gari ya Iringa ya Mwisho inatoka saa 6 mchana na inafika iringa Saa 2,

Kwa hivyo Kitonga ni mapori kiasi cha kukosa vitu kama hivi

11917749_518093585010539_197102391_n.jpg
 
What I have learnt since I joined this forum..... Tanzanians are obsessed with food and bus stations. Yenyewe people are different. Why would someone start a thread about a bus station...why?? I'm at aloss I just don't get it....anyway, to each their own.
 
Hehehe!! Hii kuna sehemu nimeiweka vizuri baada ya kurejelea chat zangu na mdau niliyekua namsema, ni kwamba walichomoa Ubungo mchana, wakabanwa Kitonga usiku na mipolisi ambayo haikuruhusu kuendelea zaidi ya hapo.

Lakini mimi imenitokea pia, niliabiri basi la mchana kutoka Ubungo kwenda Arusha, tukaishia kulala Moshi, kwanza ilikua tuzuiwe pale Himo ila polisi wakagombana wenyewe, maana mmoja alikua anasisitiza liegeshwe wenzake wakakatalia na kuamuru dereva alipeleke hadi Moshi.
Nililala hotelini na kuomba mhudumu aniamshe mapema niliwahi kabla halijaondoka kwenda Arusha.
Kwa Kenya ni ruksa kuondoka muda wowote na kufika saa yoyote.
Poa bro nmeshakuelewa
 
What I have learnt since I joined this forum..... Tanzanians are obsessed with food and bus stations. Yenyewe people are different. Why would someone start a thread about a bus station...why?? I'm at aloss I just don't get it....anyway, to each their own.
[emoji23][emoji23][emoji23] hii observation butu kabisa
 
Ndio yale yale ya siku zote, Watanzania hupelekeshwa kwa mpigo mmoja. Kitu kama hiki hauwezi kukiona huku Kenya maana hamna sheria ya kuzuia muda wa mabasi kusafiri. Kwa Bongo huwa inabidi mabasi ya mikoani yatoke yote muda wa masaa ya asubuhi ili yasafiri mchana wote na kufika mida ya saa mbili hadi saa nne usiku, la sivyo yanalazimishwa kuegeshwa pembeni abiria wanalala njiani.
Kuna mshikaji wangu juzi amesafiri kwenda Iringa tokea Dar, ilibidi basi liegeshwe walale njiani, sheria za ajabu hizo.
Niliwahi kusafiri kwenda Arusha, tulitoka Dar kama tumechelewa mida ya saa saba, iltulazimu kulala Moshi, ilinibidi kukodi chumba maana upumbavu wa kulala kwenye basi siwezi.

Kwa Kenya, usafiri wa usiku ni ruksa, hivyo hamna haya mahangaiko ya kusongamana, mabasi yanaondoka muda wowote.
Mk sema ukweli hamna bus terminal mna stage pembezoni mwa Barabara. Na ache kusema uongo bus toka dar to iringa ni saa 8 kwa hivyo hakuna kulala njiani
 
Hehehe! Haya bwana, nimemfuata kwenye chat history zangu naye, naona walitoka mchana na walikwama maeneo ya Kitonga.
Binafisi sina uzoefu na Iringa, nimezoea Tabora.

Labda alikua na trekta
 
Back
Top Bottom