Video: How busy is Ubungo bus Terminal?

Hebu tuwawekee na sehemu za kulia njiani wapagawe kabisa hawa mabudaa

Hahaha, wao wanasafiri na yale madude ya kizamani yamefungwa Carrier ya Mizigo Juu[emoji2][emoji2]
 
Hata BRT walisema sio lazima wajengee barabara yake maalum inaeza pita barabara moja na matatu[emoji23][emoji23][emoji23] kumbe hawajui kuwa BRT inatakiwa iwe na barabara yake pekee ili kusiwepo na jamu.
[/URL]

Roughly 70 per cent of Tanzanians live on less than Sh4,400 a day (less than $2). Yet a two-way commute along the main branch of the BRT would cost Sh1,300 – that’s a staggering 30 per cent of poor people’s daily income being spent on transport.
By comparison, the same commute by daladala would have cost Sh800.
What’s more, the lack of jobs is a major problem in Dar es Salaam, as in many other metropolises in developing countries.
 
Nairobi haina hizi sana sababu watu wengi wana magari yao binafsi. This Tz bus station is just busy because of poverty waTz can't afford cars halafu ona vile mahali pale Ubungo pachafu sana.
Sawa ubungo pachafu,hapo nairobi bus terminal pasafi
 
Tatizo ni waTZ wenyewe wanajidharau. Hawajui TZ ni taiga kubwa ni nchi muhimu mnooo ndani ya Africa na dunia kiujumla.
Tanzania ni kubwa kama DRC ,Chad ,Mali ,Niger lakini umuhimu wenyu ni finyu sana hata hamtambuki duniani.Ndio sababu unaona kampuni nyingi kubwa duniani zinajua Nairobi Kenya tu.
 
Unaongelea hizi 13 counties labda.

Wewe mjinga wa Bukoba afadhali ungerushwa ziwani Victoria badala ya kuharibu hewa ya Tz.
Nyie Tzmaskini mbona hamjatumia hizo bongolala zenyu kujikwamua kutoka baa la LDC?
 
Sasa mbona hazipunguzi tatizo la ajira[emoji23][emoji23][emoji23] au unashadadia tu ili mradi,
Vitu vingine vikupite tu, ona unavyojitia aibu
Mkiambiwa mna ufinyu wa akili mnasema tunawatukana.
Tanzania ni kubwa kama DRC ,Chad ,Mali ,Niger lakini umuhimu wenyu ni finyu sana hata hamtambuki duniani.Ndio sababu unaona kampuni nyingi kubwa duniani zinajua Nairobi Kenya tu.
 
Tanzania ni kubwa kama DRC ,Chad ,Mali ,Niger lakini umuhimu wenyu ni finyu sana hata hamtambuki duniani.Ndio sababu unaona kampuni nyingi kubwa duniani zinajua Nairobi Kenya tu.

Pamoja na companies hizo still this is how kenya looks like as we speak

Zimesaidia nini sasa wakati nusu ya wakenya wanaishi chini ya dolali moja[emoji2]
 
Wewe kweli una akili timamu? Mbona Ubungo,Manzese na Kijitonyama kunakaa vile? Mbona mnaua albinos kwa wingi vile? Mbona ndege zenyu chache zinatekwa na mataifa mbali mbali?
Wale Jaluo mnaowachinja kila uchaguzi ukifika na nyama zao kuwapelekea watu wanaokufa kwa njaa Turkana na Samburu. Vipi serikali yenu inayofafhili ugaidi ili kuwamaliza kabila zingine kwa kisingizio kwamba wanaoshambulia ni Alshabaab kumbe ni GoK.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…