ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Wapiganagi wa 23 wanadai wameuteka Mji wa Goma na kufunga Anga yake.
Maelfu ya watu wamedaiwa kukimbia Ili kujiokoa na dhahama ya waasi.
Haijathibitishwa ikiwa ni kweli au hapana na Wala haeleweki wanadai kulinda amani huko wanalinda kitu.
My Take
M23 jitangazieni Nchi huru huko Kivu Ili amani irudi maana hao wakata mauno wa DR Congo Wameshindwa kujitawala.
Tena na Waasi wengine wachukue South Kivu Ili ziwe Nchi huru na Maendeleo yaje.
Goma ni Jiji zuri kuliko Mji wowote hapa Tanzania kasoro Dar japo Dar nayo Kwa Goma ni uswazi tuu.
Maelfu ya watu wamedaiwa kukimbia Ili kujiokoa na dhahama ya waasi.
Haijathibitishwa ikiwa ni kweli au hapana na Wala haeleweki wanadai kulinda amani huko wanalinda kitu.
My Take
M23 jitangazieni Nchi huru huko Kivu Ili amani irudi maana hao wakata mauno wa DR Congo Wameshindwa kujitawala.
Tena na Waasi wengine wachukue South Kivu Ili ziwe Nchi huru na Maendeleo yaje.
Goma ni Jiji zuri kuliko Mji wowote hapa Tanzania kasoro Dar japo Dar nayo Kwa Goma ni uswazi tuu.