zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Majeshi ya Tshisekedi yamekimbilia Gisenyi Rwanda yamekimbia mapigano makali na Waasi wa M23.
View: https://youtu.be/sXEJY1ieiTw?si=Zzbhcbgx7DtVr_SL
Halafu wanajeshi wa Congo ni waoga wepesi wepesi kinoma kidogo tu wamekimbia ndio maana wanawafanya ushenzi km wangekua ngumu kumeza basi mpaka sasa wangekua tayari wameshamaliza huo upuuzi wa hao wakuda