Video: Huu Ndio Mji wa Goma Unaodaiwa Kutekwa na M23

Video: Huu Ndio Mji wa Goma Unaodaiwa Kutekwa na M23

"Black people are not complete human beings because they don't have a good brain to govern the society as White people. They are still under the process of becoming the complete human beings."

Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
Angeenda kwao uholanzi kujenga nchi,hapo kwa zulu natal watu walikua na mifumo yao ya governance
 
Halafu wanajeshi wa Congo ni waoga wepesi wepesi kinoma kidogo tu wamekimbia ndio maana wanawafanya ushenzi km wangekua ngumu kumeza basi mpaka sasa wangekua tayari wameshamaliza huo upuuzi wa hao wakuda
Col mamadou ndala alikua akiwachapa viboko kuwarudisha msitari wa mbele,m23 hawakutoboa,wakubwa fardc wakamuua
 
Wananchi wameanza kuwashangilia Waasi wa M23 wakiingia katikati ya Mji wa Goma.
 
Kaw Hali hiyo huwezi kuwa na jeshi.
Halafu huwezi kuwa na Jeshi ambalo linasema Watutsi sio raia wa Kongo.

Nisawasawa na leo JWTZ liseme Maasai wetu sio Watanzania bali ni watu wa Kenya unapoleta ubaguzi wa Kikabila kwenye Taifa hilo Taifa halitakuwa na uimara wowote.

Sisi Tanzania tulimshinda Iddi Amini kwa umoja wetu na Uganda ya Amini walikuwa sio wamoja.

Umoja ni muhimu sana kwenye Taifa.
 
Wapiganagi wa 23 wanadai wameuteka Mji wa Goma na kufunga Anga yake.

Maelfu ya watu wamedaiwa kukimbia Ili kujiokoa na dhahama ya waasi.

Haijathibitishwa ikiwa ni kweli au hapana na Wala haeleweki wanadai kulinda amani huko wanalinda kitu.


My Take
Mwenyekiti wa EAC William Ruto ameitisha mkutano wa Wakuu wa Nchi na kutaka Paul Kagame & Felix Tchisekedi Wahudhurie Iko kutafuta suluhisho.


View: https://www.instagram.com/p/DFVcH5DtDCp/?igsh=aWl6bnlod25hbWJy
 
Wapiganagi wa 23 wanadai wameuteka Mji wa Goma na kufunga Anga yake.

Maelfu ya watu wamedaiwa kukimbia Ili kujiokoa na dhahama ya waasi.

Haijathibitishwa ikiwa ni kweli au hapana na Wala haeleweki wanadai kulinda amani huko wanalinda kitu.


My Take
Mwenyekiti wa EAC William Ruto ameitisha mkutano wa Wakuu wa Nchi na kutaka Paul Kagame & Felix Tchisekedi Wahudhurie Iko kutafuta suluhisho.

M23 Watangaze Nchi kabisa au laa Waiteke Kinshasa maana wanaweza kuleta usalama kuliko hao wapuuzi wengine wa DRC 👇👇

View: https://www.instagram.com/reel/DFVaLXAoF-X/?igsh=MTllYnE4ZnA0amhzcQ==
 
Hayati Baba wa Taifa Julius Kambarage Nyerere alishaongelea kwa uwazi huu mgogoro kwamba Watutsi wa Kongo ni Wakongo hiwezi kuwavua uraia kwa kutegemea mipaka iliyochorwa na Wakoloni.
Sahihi kabisa. Kiasili kabisa eneo lenye migogoro ilikuwa sehemu ya tawala za machief wa Kinyerwanda kabla ya kuganywa na kupelekwa chini ya Himaya ya Mbelgiji huku sehemu nyingine ikiangukia Kwa Mjerumani.

Kama kongo wanahitaji ardhi wa Banyamulenge basi hamna budi kuwapenda na watu wake. Kama hawawapendi Banyamulenge basi wawaachie na ardhi yao wainge na their motherland Ruanda -Urundi
 
Back
Top Bottom