Ramesses II
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 3,710
- 5,054
M23 hawana shida na raia. Wao wanasaka jeshi Congo tu. SI umeona hata walipoingia Goma walivyoshangiliwa na raia!Goma na Gisenyi ni Miji iliyoungana kama Namanga ya Tanzania na Kenya kwahiyo wanavuka ili kujisalimisha wasije wakatekwa na Waasi.