Eti hao ndio watetezi wa chama. Sasa watashawishi watu kuvaa maderaItari , Uhoranzi.?????
Shenzi sana!
Amekua DC mpechempecheNamkubali sana DC magoti
USSR
Vipi rangi midomoni mkuuMlidhani udikteta ndo ubaya...oneni mnakoipeleka nchi?
Watatengeneza nyusi na kope, waseme za kiume....baada ya Mitume, Yesu, anafuata Chura kiziwi......kila la kheri watu weusi.
Kuna giza kinene mbeleni, jamii yetu inahitaji kufumuliwa upyaMungu awasaidie kizazi changu aiseee
Mtu akikusifia sana mbele za watu jua anakudhihakiWanabodi, Ni Kweli Maisha Ni Magumu, Kiasi Kwamba Kila Mtu Hasa Vijana Akitaka Apate Unafuu Wa Maisha Basi Ni Shurti "
View attachment 3226794
View attachment 3226793
Kumlamba Miguu" Aliye Juu Yako Kwa Namna Yoyote Itakayokuonesha Wewe Unampenda Muhusika...
Lakini Kwa Tabia Kama Hizi.. It's Too Much
Hii comment hata mi nilikuwa nataka niandike ila ni kweli ndio nia ya mleta uzi.😅 Lengo tucheke tuambiwe tuna kufuru.
Ya kwanza unaona sio kiboko ni kawaida tu?Hiyo ya pili ni kiboko.
Hii ya kwanza Kuna namna unashindwa ku comment, unaweza kutafasirika vbya.Ya kwanza unaona sio kiboko ni kawaida tu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Njaa hizi ndio maana watu hunyang'anywa ubingwa