nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,779
Anatunisha mikono na kamwili kimbaumbau hahaha. Aende gym kwanza akate hicho kitambi alafu ale sana protein kujenga misuli. Huyo hata ajifukize vipi na kimwili cha hivyo korona ikipita naye hachomoki.
Vijana wa kitanzania ingieni gym acheni uvivu. Miili ya design hii ni aibu, mtu akipita na kifua kimejaa vizuri, mgongo huo na six pack safi mke wako habaki salama. Vitu vingine watu mnajitakia wenyewe tu, matambitambi ovyo
Mwili wake kama wangu hivyo siwezi kumcheka.🤣🤣🤣🤣kwaza tsht na shirt huwa znakaa poa balaa ukiwa na mwili na wamazoezi jamani🤣🤣! Mama kitambia baba kitambi lahaulaa!
Mwili wake kama wangu hivyo siwezi kumcheka.
Kabisa kwenye albamu angalia niko hivyo hivyo. Uzuri mimi ni mweupe.Hivi eh!
Kabisa kwenye albamu angalia niko hivyo hivyo. Uzuri mimi ni mweupe.
Nasikia wanyonge sana?Mwanaume mweupe hanaga soko🤧🤦
SijuiNasikia wanyonge sana?
Kuna siku nitakutumia picha nikiwa na kamwili ka hivyo. Nilipotoka Congo kulinda amani.Sijui
Anatunisha mikono na kamwili kimbaumbau hahaha. Aende gym kwanza akate hicho kitambi alafu ale sana protein kujenga misuli. Huyo hata ajifukize vipi na kimwili cha hivyo korona ikipita naye hachomoki.
Vijana wa kitanzania ingieni gym acheni uvivu. Miili ya design hii ni aibu, mtu akipita na kifua kimejaa vizuri, mgongo huo na six pack safi mke wako habaki salama. Vitu vingine watu mnajitakia wenyewe tu, matambitambi ovyo
Mwanaume pesa tuKitambi cha minyoo kimetokeza kama kiroba cha mahindi
Endeleeni kujidanganya, kuna njia nyingi za kufanya mazoezi nyingine unaweza tumia uzito wako wa mwili ukajenga mwili safi kabisa ambao mmekaa kuuona kwenye tv tu mnahisi miili ya models kumbe nyie wenyewe ndo wavivu tu. Fuatilia kuhusu calisthenics uone, mazoezi mengi mno bila kifaa cha gym hata kimojaGym bila pesa utaishia kua bouncer nightclubs.