Kagame KARUKA RUKA NA LOCK DOWN.
kaona uchumi unapumulia mipira kaachia.
Lock down mchezo.View attachment 1437272
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha gubu la kijinga wewe, hiyo ni behavioural compensative tendency, unashindwa kufanikiwa katika nyanja nyingine za maisha basi unaamua ufidie kwa kutunisha misuliAnatunisha mikono na kamwili kimbaumbau hahaha. Aende gym kwanza akate hicho kitambi alafu ale sana protein kujenga misuli. Huyo hata ajifukize vipi na kimwili cha hivyo korona ikipita naye hachomoki.
Vijana wa kitanzania ingieni gym acheni uvivu. Miili ya design hii ni aibu, mtu akipita na kifua kimejaa vizuri, mgongo huo na six pack safi mke wako habaki salama. Vitu vingine watu mnajitakia wenyewe tu, matambitambi ovyo
Akili ni nywele, jaribu kufikiri upya kuna mahala utaelewa na kujifunza kitu..
Gym bongo.......wadada wanaangalia salio we tunisha misuli tu kama salio halisomi unagongewa tuAnatunisha mikono na kamwili kimbaumbau hahaha. Aende gym kwanza akate hicho kitambi alafu ale sana protein kujenga misuli. Huyo hata ajifukize vipi na kimwili cha hivyo korona ikipita naye hachomoki.
Vijana wa kitanzania ingieni gym acheni uvivu. Miili ya design hii ni aibu, mtu akipita na kifua kimejaa vizuri, mgongo huo na six pack safi mke wako habaki salama. Vitu vingine watu mnajitakia wenyewe tu, matambitambi ovyo
Naona unanifuatilia kwenye kila thread, we jamaa ni nyoko. Kaa fanya yako nimefanikiwa kuliko ukoo wenu mzima badala ya wivu ya kijinga kaa utafute yako mwenyewe stupid. Nimekublock usijisumbue tena kujibu chochote sitokua naviona. I don’t have time to deal with stupid poor people wasio na direction yoyote ya maisha. Go f yourselfAcha gubu la kijinga wewe, hiyo ni behavioural compensative tendency, unashindwa kufanikiwa katika nyanja nyingine za maisha basi unaamua ufidie kwa kutunisha misuli
Endelea kujidanganya.Gym bongo.......wadada wanaangalia salio we tunisha misuli tu kama salio halisomi unagongewa tu
Miili ya shuruba hio hapo unaweza rusha ngumi ukadhani umepiga ukuta.......hawa wa gym wengi mayaiyai tu hadi mashoga nao wanavimbisha miili huko gym......mwanaume ni pesa na kupiga mashine tu kujazia miili labda kama unataka kua baunsa clubMkomao huyo, anaweza kukuchakaza vibaya na 6 pack zako...
Wote tupo kitaa tunajua hilo wadada wa sasa macho kwenye pesa kwanza vifua nyongezaEndelea kujidanganya.
Msukuma bwana yaani badala ya kwenda kununua paving blocks yeye amepigisha mwenyewe halafu ni bilionea!!Week ya kujifukiza inaendelea vizuri sana,hekima za viongozi wetu zimetamalaki na wanatuongoza vyema sana kuelekea nchi ya ahadi
Hlafu ma komredi wa ccm kama mbunge hatapost picha akiwa anajifukiza asipitishwe kura za maoni maana huo ni ukaidi wa amri halali ya mwenyekiti,tumeona miss paulina leo ka post picha nyingine hizi hapa za mbunge tegemeo wa ccm bwana kasheku msukuma ambaye kwa mujibu wake yeye akiwa star tv siku moja alisema ni mkuu wa wachawi kanda ya ziwa.
ccm oyeee,ccm mpya oyeeee.
View attachment 1436791View attachment 1436792View attachment 1436793
Umeona sasa, jibu hoja kwa hoja, unaexpress behavioural compensative tendency hata katika lugha yako, nikufuatilie we nani kwani, hii ID ndio kwanza naiona leo as far as my memory is concerned..Naona unanifuatilia kwenye kila thread, we jamaa ni nyoko. Kaa fanya yako nimefanikiwa kuliko ukoo wenu mzima badala ya wivu ya kijinga kaa utafute yako mwenyewe stupid. Nimekublock usijisumbue tena kujibu chochote sitokua naviona. I don’t have time to deal with stupid poor people wasio na direction yoyote ya maisha. Go f yourself
Kwani huwezi kuwa na mitikasi na mazoezi ukawa unafanya pia?Endelea kupiga gym tu huku account inasoma Tsh 1000/=..
Hako kamsukuma kanamiliki hela ndio maana kamiliki confidence pia..
Ukiona mkeo anachepuka eti kaona six pack shukuru na piga talaka 100... Hapo umeoa empy box, mwanamke anayejielewa anapenda mwanaume fighter mwenye mitikasi mingi duniani huku..
kajamaa kamekonda ila kanahela
mmhMwanaume mweupe hanaga soko🤧🤦
😅😅! Wanasemaga mkuu mie sina hakika