Video: Huyu ni mtangazaji mwenye chuki kali kwa Simba. Simba punguzeni shobo kwa Efm

Video: Huyu ni mtangazaji mwenye chuki kali kwa Simba. Simba punguzeni shobo kwa Efm

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Brother ifunze ku balance shobo basi yaani haihitaji hata mwanasaikolojia akiangalia hiii video kujua kwamba una chuki kwa simba iliyopitiliza, Magori anaongea vitu vya maaaa unajifanya uko bize na simu mara pc huku ukimeza fundo za mate zenye mchanganyiko wa hasira na wivu, pumbavu

Hata kumuangalia usoni Magori unaona aibu, hivi unamfanyia mtu interview hata kumuangalia usoni unaogopa? Eti uko bize na simu unapewa maelekezo na msomali au?

Mbona Tunu na jemedari ni Yanga hawana mambo ya kijuha kama yako? Jiheshimu basi, halafu na nyie Simba punguzeni kutoa exclusive interviews kwa Efm, kwani hamna media nyingine?

 
Magori ameongea pumba tu, na huwa hapendi kuulizwa maswali. Huwa anaongea dakika mbili nzima, ukimkatisha anamind.

Hapo mtangazaji angevaa earpiece ili producer awe anawasiliana nae kusu sound quality, maswali na updates. Kwa hapa wanatumia sana cell phones, ndiyo washazoea.

Kwa kifupi anaboa na inaonyesha kuna kujihami fulni hivi kutoka Simba.

Mara MIquissone hatujui alikoenda na barua ya kireno ipo mitandaoni, mara naye huyu anasema kachukuliwa kwa hela ndefu tena club kubwa.
 
Magori ameongea pumba tu, na huwa hapendi kuulizwa maswali. Huwa anaongea dakika mbili nzima, ukimkatisha anamind...
Interviews zote za magori huwa zinaenda vizuri wakati mr takataka alipohamia wachafu karudi ujinga unaanza ndiyo maana Magori alikuwa anamjibu shortcut sababu anajua ana deal na lichimvi
 
interviews zote za magori huwa zinaenda vizuri wakati mr takataka alipohamia wachafu karudi ujinga unaanza ndiyo maana magori alikuwa anamjibu shortcut sababu anajua ana deal na lichimvi
Basi ndiyo hivyo, kwa watu makini leo amejichanganya na msemaji wake. Au yeye ndiyo msemaji wa Simba?
 
Magori ameongea pumba tu, na huwa hapendi kuulizwa maswali. Huwa anaongea dakika mbili nzima, ukimkatisha anamind.
Hapo mtangazaji angevaa earpiece ili producer awe anawasiliana nae kusu sound quality, maswali na updates. Kwa hapa wanatumia sana cell phones, ndiyo washazoea...
Sasa wewe hapa umeandika pumba zaidi, au kwa kuwa umeweka comment ndefu ndiyo unaona point. Utopolo bwana
 
Radio nyingi sasa hivi haziwapendi Simba nafikili Bongo ndio nchi ambayo ukitaka upate maadui uwe na mafanikio
kosa kubwa la simba ni kufanya vizuri miaka 4 mfululizo , hadi sasa imekuwa ya 12 kwa ubora afrika, kinachofanyika kwa sasa ni syndicate ya watu wengi sana wanaotumia hela nyingi kuwahonga matakataka yanayojiita watangazji na wandishi kuivuruga simba kwa kila hali

Ni hatari sana kufanikiwa kisoka nchi hii ni kosa kubwa sana urudishwe nyuma
 
kosa kubwa la simba ni kufanya vizuri miaka 4 mfululizo , hadi sasa imekuwa ya 12 kwa ubora afrika, kinachofanyika kwa sasa ni syndicate ya watu wengi sana wanaotumia hela nyingi kuwahonga matakataka yanayojiita watangazji na wandishi kuivuruga simba kwa kila hali

Ni hatari sana kufanikiwa kisoka nchi hii ni kosa kubwa sana urudishwe nyuma
Halafu Cha ajabu hawa hawa waandishi wa habari mpira ukishuka nchini mwetu ndio watu wa Kwanza kuanza kuleta maneno wakati wao Kwa kukosa uweledi ndio wanachangia kupolomoka Kwa soka nchini
 
UKIONA UNAMSHUKU MTU KWA LOLOTE BASI JUA HILO ULILOMSHUKU NALO NDILO ULILO NALO PIA JUU YAKE, NAHISI WEWE UNA CHUKI NA UYO MTANGAZAJI NDO MAANA UKAMSHUKU YAKUWA ANA CHUKI NA SIMBA YAKO, SO NAKUSHAURI KITOE KWANZA KIBANZI KILICHOPO MACHONI PAKO NDIPO UIONE BORITI ILIOKO KATIKA JICHO LA MWENZAKO.
 
UKIONA UNAMSHUKU MTU KWA LOLOTE BASI JUA HILO ULILOMSHUKU NALO NDILO ULILO NALO PIA JUU YAKE, NAHISI WEWE UNA CHUKI NA UYO MTANGAZAJI NDO MAANA UKAMSHUKU YAKUWA ANA CHUKI NA SIMBA YAKO, SO NAKUSHAURI KITOE KWANZA KIBANZI KILICHOPO MACHONI PAKO NDIPO UIONE BORITI ILIOKO KATIKA JICHO LA MWENZAKO.
kaanza yeye tutamaliza sisi siyo mimi tu bro TUNA CHUKI NAYE KWELIKWELI NA TUNACHUKIA ILE MICHEZO MICHAFU INAYOFANYIKA KWENYE ZILE SAFARI
 
Halafu Cha ajabu hawa hawa waandishi wa habari mpira ukishuka nchini mwetu ndio watu wa Kwanza kuanza kuleta maneno wakati wao Kwa kukosa uweledi ndio wanachangia kupolomoka Kwa soka nchini
Isijekuwa Kaa bongo movie ilivyopolomoka
 
Back
Top Bottom