Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Naona mmerithi rasmi ule upuuzi wa yule msemaji wenu mliye mfukuza! Kila siku ni kulia lia tu dhidi ya watangazaji/wachambuzi wa michezo!
Mbaya zaidi hicho mnacho lilia chenyewe, hakieleweki!! Zaidi tu mnaendekeza ushabiki maandazi na umbumbumbu!
Mbaya zaidi hicho mnacho lilia chenyewe, hakieleweki!! Zaidi tu mnaendekeza ushabiki maandazi na umbumbumbu!