Video: Inadaiwa kutokea Kisumu, kibaka akwapua simu za wazungu kwenye mgahawa

Papaa Mobimba

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2018
Posts
882
Reaction score
3,337
Kijana wa Kikenya amelitia Taifa hilo katika aibu baada ya kukwapua simu mbili za watasha waliokuwa wakipiga stori sogozi kwenye mgahawa. Kijana huyo aliyeingia ndani ya eneo hilo akiwa anaongea na simu na kwenda kukaa karibu na watasha hao lakini ghafla alikwapua simu hizo na kufanikiwa kukimbia.

Your browser is not able to display this video.
 
Kwa mara nyingine tena, kenya anaingia kwenye ramani ya dunia ya uporaji.
 
Intelligent guy very calculated move simple and efficient
 
Watu kiswahili tu hawajui



Ngoja wakenya wakuje kujitetea
 
Kweli hawa jamaa wana hali mbaya...
 
Kwa kukimbia najua hawatampata ila nilikuwa sijui kama wakenya ni wezi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…