Pre GE2025 VIDEO: Innocent Bashungwa alivyomsaidia mtoto huyu kumtwisha dumu kichwani baada ya kuwakuta wakichota maji

Pre GE2025 VIDEO: Innocent Bashungwa alivyomsaidia mtoto huyu kumtwisha dumu kichwani baada ya kuwakuta wakichota maji

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ujinga mtupu,kamera za nini kama ilikuwa ni msaada wa ghafla?
 
Kila mtu apost anachosaidia watu mtaan mmie napost jana kuna bib nimemnunulia mo eneg maana mezid kana kwamba msaada mnatoa nyie tuu
 

Attachments

  • Screenshot_2025-03-09-15-38-19-66_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
    Screenshot_2025-03-09-15-38-19-66_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
    479.4 KB · Views: 1
Wakuu

Mbunge wa Karagwe, Innocent Bashungwa, ameonyesha moyo wa huruma kwa kusaidia mtoto mdogo kumtwisha dumu la maji kichwani baada ya kumkuta akichota maji.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Tukio hilo lilitokea wakati Bashungwa alipokuwa katika pita pita zake, ambapo alikutana na watoto wakichota maji. Akiwa anawaongelesha kwa lugha yao, alijitolea kumsaidia mmoja wao kwa kumtwisha dumu hilo kichwani.

Je, ni mbinu kuelekea Uchaguzi?

Kama unaona kumsaidia kumtwisha ndoo ya maji ni huruma, una matatizo kwenye akili yako
 
Wakuu

Mbunge wa Karagwe, Innocent Bashungwa, ameonyesha moyo wa huruma kwa kusaidia mtoto mdogo kumtwisha dumu la maji kichwani baada ya kumkuta akichota maji.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Tukio hilo lilitokea wakati Bashungwa alipokuwa katika pita pita zake, ambapo alikutana na watoto wakichota maji. Akiwa anawaongelesha kwa lugha yao, alijitolea kumsaidia mmoja wao kwa kumtwisha dumu hilo kichwani.

Je, ni mbinu kuelekea Uchaguzi?

Mtu timamu huwezi kumtwisha dumu hilo lililojaa maji mtoto mdogo kama huyo!
 
Huyo jamaa ni attention seeker na asitegemee kupata positive energy kutokana na hizo tabia za kuwachukua watu video


Anaigiza utu angekuwa Ana utu asingemjemgea mchipuko sheli na kuwaacha wananchi wanakunywa maji machafu siangejenga hata kisima cha maji.


Ile sheli aliyomjengea mchipuko is a lot of money na hela zote anatoa serikalini
Duh hiyo sheli Iko sehemu Gani nikajaze mafuta??
 
Hii Nchi jau sana haha ccm wameingoza hii nchi miaka zaidi ya 60 ila wananchi wake ndio hivyo.
Ingetakiwa hao watu wamchape vibao huyo bwana chungwa na aulizwe kama yeye watoto wake wanachota maji hivyo
 
Back
Top Bottom