Pre GE2025 VIDEO: Innocent Bashungwa alivyomsaidia mtoto huyu kumtwisha dumu kichwani baada ya kuwakuta wakichota maji

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ujinga mtupu,kamera za nini kama ilikuwa ni msaada wa ghafla?
 
Kila mtu apost anachosaidia watu mtaan mmie napost jana kuna bib nimemnunulia mo eneg maana mezid kana kwamba msaada mnatoa nyie tuu
 

Attachments

  • Screenshot_2025-03-09-15-38-19-66_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
    479.4 KB · Views: 1
Kama unaona kumsaidia kumtwisha ndoo ya maji ni huruma, una matatizo kwenye akili yako
 
Mtu timamu huwezi kumtwisha dumu hilo lililojaa maji mtoto mdogo kama huyo!
 
Duh hiyo sheli Iko sehemu Gani nikajaze mafuta??
 
Hii Nchi jau sana haha ccm wameingoza hii nchi miaka zaidi ya 60 ila wananchi wake ndio hivyo.
Ingetakiwa hao watu wamchape vibao huyo bwana chungwa na aulizwe kama yeye watoto wake wanachota maji hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…