Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Wakuu,
Kuonesha kwamba yeye ni kiongozi humble na ambaye ana maisha sawa na wananchi, Bashungwa ametinga mtaani na kwenda kula kwenye mgahawa mmoja maarufu
Nimpongeze Bashungwa kwa kwenda kula na wananchi wa hali ya chini, maana watanzania wote tunajua hapo ndio sehemu yake anayoenda kula kila siku.
Pia nimpongeze Rais Samia kwa kutupa huyu Waziri mchapakazi ambaye migahawa kama hii huwa anaiona kipindi ambacho kampeni za ubunge zinakaribia tu. Huo ni uzalendo wa kweli.
Kama wananchi tunapenda viongozi wanaojali maslahi ya wananchi kama hivi, especially kipindi hiki uchaguzi ukiwa unakaribia.
CCM Mitano tena!
Kuonesha kwamba yeye ni kiongozi humble na ambaye ana maisha sawa na wananchi, Bashungwa ametinga mtaani na kwenda kula kwenye mgahawa mmoja maarufu
Nimpongeze Bashungwa kwa kwenda kula na wananchi wa hali ya chini, maana watanzania wote tunajua hapo ndio sehemu yake anayoenda kula kila siku.
Pia nimpongeze Rais Samia kwa kutupa huyu Waziri mchapakazi ambaye migahawa kama hii huwa anaiona kipindi ambacho kampeni za ubunge zinakaribia tu. Huo ni uzalendo wa kweli.
Kama wananchi tunapenda viongozi wanaojali maslahi ya wananchi kama hivi, especially kipindi hiki uchaguzi ukiwa unakaribia.
CCM Mitano tena!