Kweli Mimi ni wa kulizwa kweli kisa ushabiki? Watoto wangu watanionaje huko mbeleni? Nimepigiwa simu kutoka pande za dunia wakinipa pole.
Kwelii man utd na simba mmefikia huko? Kweli simba hile ni timu ambayo inajinasibu kufika Mbali CCL Kweli?
Simba ambayo sasa haina sauti kwa yanga yani sisi ni dhaifu kwa yanga? Au hawa viongozi hawaoni umuhimu wa derby Kama wazee wetu walivyokua wanaichukulia hii derby?...
Huu ni msimu yanga anaenda kua un beaten tena maana simba hawajielewi na hawako serious, una shida na namba sita unaenda kumchukua akpan kweli?
Unaacha kusajili wachezaji unatuletea magarasa ambayo hata Mimi nayazidi? Unamtoa kagere unamleta kyombo ambae hajawai kufikisha magoli 6 ndio acheze namba yake?.
Hivi kweli mzamiru ni mchezaji?
Itabidi Nikae pembeni kwa muda kufatilia hizi timu nijikite kwenye sala.
Hivi wana deportivo la utopolo mliwezaje kuvumilia miaka 4 hivi?
Bora simba...man utd ndio hovyo kabisa wanashika mkia huko. Jana kocha anahojiwa unaona yupo hoi. Sasa naona reality ya the task at hand imeanza ku sink in
Bora simba...man utd ndio hovyo kabisa wanashika mkia huko. Jana kocha anahojiwa unaona yupo hoi. Sasa naona reality ya the task at hand imeanza ku sink in
Pole mkuu hauko peke yako, binafsi Man utd wamenihudhunisha mno, but nimefarijika kwa Mamelodi Sundowns kuwafunga kaizer 4-0,Yanga kuibuka na 2-1 dhidi ya msimbazi!,kunywa maji mengi mkuu changanya na 🍋
Pole mkuu hauko peke yako, binafsi Man utd wamenihudhunisha mno, but nimefarijika kwa Mamelodi Sundowns kuwafunga kaizer 4-0,Yanga kuibuka na 2-1 dhidi ya msimbazi!,kunywa maji mengi mkuu changanya na 🍋
Hivi vilio vingi kwa jina la ushabiki ukichunguza kuna kamari ndani yake.
Ukute hapo alishabeti pesa yake ya ngama akiwa na hakika ya kushinda halafu matokeo yanatokea kinyume, lazima ulie tu.
Kweli Mimi ni wa kulizwa kweli kisa ushabiki? Watoto wangu watanionaje huko mbeleni? Nimepigiwa simu kutoka pande za dunia wakinipa pole.
Kwelii man utd na simba mmefikia huko? Kweli simba hile ni timu ambayo inajinasibu kufika Mbali CCL Kweli?
Simba ambayo sasa haina sauti kwa yanga yani sisi ni dhaifu kwa yanga? Au hawa viongozi hawaoni umuhimu wa derby Kama wazee wetu walivyokua wanaichukulia hii derby?...
Huu ni msimu yanga anaenda kua un beaten tena maana simba hawajielewi na hawako serious, una shida na namba sita unaenda kumchukua akpan kweli?
Unaacha kusajili wachezaji unatuletea magarasa ambayo hata Mimi nayazidi? Unamtoa kagere unamleta kyombo ambae hajawai kufikisha magoli 6 ndio acheze namba yake?.
Hivi kweli mzamiru ni mchezaji?
Itabidi Nikae pembeni kwa muda kufatilia hizi timu nijikite kwenye sala.
Hivi wana deportivo la utopolo mliwezaje kuvumilia miaka 4 hivi?
Pumzika tu haina namna maana mpira ni mchezo wa kushangaza sana unaweza ukaingia matokeo yako mfukoni ukiwa uwanjani mwisho wa mchezo filimbi inapulizwa ukaishia kupigwa na butwaa kwa kile unachokiona uwanjani huku Man U kafa 4-0 na huku Simba kafa 2-1 kwa comeback za Mayele
Pumzika tu haina namna maana mpira ni mchezo wa kushangaza sana unaweza ukaingia matokeo yako mfukoni ukiwa uwanjani mwisho wa mchezo filimbi inapulizwa ukaishia kupigwa na butwaa kwa kile unachokiona uwanjani huku Man U kafa 4-0 na huku Simba kafa 2-1 kwa comeback za Mayele
Lakini kinachoumiza zaidi kwa wana simba ni uzembe tu wa kocha baada ya watu kuona kikosi walianza kutukana.
Sorry nakusogezea comment zenye maudhui mabaya kutoka kwa mashabiki.
Wanasimba walijua kitakachotokea maana na wao wanajua kikosi cha ushindani ni kipi na kipii sio cha ushindani,
Kweli Mimi ni wa kulizwa kweli kisa ushabiki? Watoto wangu watanionaje huko mbeleni? Nimepigiwa simu kutoka pande za dunia wakinipa pole.
Kwelii man utd na simba mmefikia huko? Kweli simba hile ni timu ambayo inajinasibu kufika Mbali CCL Kweli?
Simba ambayo sasa haina sauti kwa yanga yani sisi ni dhaifu kwa yanga? Au hawa viongozi hawaoni umuhimu wa derby Kama wazee wetu walivyokua wanaichukulia hii derby?...
Huu ni msimu yanga anaenda kua un beaten tena maana simba hawajielewi na hawako serious, una shida na namba sita unaenda kumchukua akpan kweli?
Unaacha kusajili wachezaji unatuletea magarasa ambayo hata Mimi nayazidi? Unamtoa kagere unamleta kyombo ambae hajawai kufikisha magoli 6 ndio acheze namba yake?.
Hivi kweli mzamiru ni mchezaji?
Itabidi Nikae pembeni kwa muda kufatilia hizi timu nijikite kwenye sala.
Hivi wana deportivo la utopolo mliwezaje kuvumilia miaka 4 hivi?
Kocha wenu wa simba aliiga alivyomuona Proffesa Nabi kafanya sub nae akaiga kumbe akawa ameingia kwenye mfumo wa Proffesa hapo tukaanza kuiona yanga ileeeeee[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
Kweli Mimi ni wa kulizwa kweli kisa ushabiki? Watoto wangu watanionaje huko mbeleni? Nimepigiwa simu kutoka pande za dunia wakinipa pole.
Kwelii man utd na simba mmefikia huko? Kweli simba hile ni timu ambayo inajinasibu kufika Mbali CCL Kweli?
Simba ambayo sasa haina sauti kwa yanga yani sisi ni dhaifu kwa yanga? Au hawa viongozi hawaoni umuhimu wa derby Kama wazee wetu walivyokua wanaichukulia hii derby?...
Huu ni msimu yanga anaenda kua un beaten tena maana simba hawajielewi na hawako serious, una shida na namba sita unaenda kumchukua akpan kweli?
Unaacha kusajili wachezaji unatuletea magarasa ambayo hata Mimi nayazidi? Unamtoa kagere unamleta kyombo ambae hajawai kufikisha magoli 6 ndio acheze namba yake?.
Hivi kweli mzamiru ni mchezaji?
Itabidi Nikae pembeni kwa muda kufatilia hizi timu nijikite kwenye sala.
Hivi wana deportivo la utopolo mliwezaje kuvumilia miaka 4 hivi?