Video: Jana nilivyolia mbele ya kamera sikutegemea

Thimba

.........Mlete Mthungu! mlete mthungu! mlete mthungu!

Tabu ipo palepale.
 
Mkiambiwa mashabiki wa Simba ni wapumbavu mtakataa?, Yaani unaingia mkata wa 26+B + 20B za Mo afu mnashindwa kumsajil manzoki Kwa kuvunja mkataba wa vi 400MπŸ˜‚πŸ˜‚.

Upumbavu wenu ni nini?

Unashangilia mkataba wa 26B Kwa kuoneshwa jezi!!?

unashangilia 20B hewa za Mo ambazo hazipo!!!?

unachanga Hela ya kujenga uwanja mpaka Leo hujui uwanja upo hatua gani!!?

mnaletewa wachezaji lonya lonya kama Dejan, kiyombo afu mnashingilia na mkaba wenu wa 26 hivi n wenu au ni wa Mudi? Nasikia pesa zishaingia kwenye account ya Mo foundation??πŸ˜€πŸ˜‚
 
Lakini nakumbuka Wanachama, Wapenzi na Mashabiki wa Simba Sport Club walisema kuifunga Yanga sio kipaumbele chao bali kipaumbele chao ni kubeba Kombe la Ubingwa wa Vilabu vya Afrika. Au wamebadili gia angani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…