mutu murefu
JF-Expert Member
- Jan 3, 2017
- 996
- 2,636
Hajafanya kosa,Tff wanamuonea wivu ili yanga isijaze tarehe siku ya mwananchi ni vita dhidi ya yanga cha kushangaza wana yanga hadi sasa hawajaingia barabarani kuandamanaManara kafanya kosa gani? Nimeona tu nyuzi zake sijajua kosa amefanya
kuna li-logo lenu jekundu linachungulia kwenye gari mlilisahau na huyo mshabiki wenu mzandiki.!Yaani kama siyo kujuana juana alhaji albino sope binobino kubwa la ma albino east africa lilitakiwa kuwa jela segerea basi tu ni kama toto dogo lichokozi linajua likitukana watu kuna vibopa watalikingia kifua liendeleze matusi yake
UNAMJUA KILO 800 MWAKALEBELA WEWE? unamjua ahmed ally anayeongelea puani? usiniletee habari za ukamilifu when it comes kuhusu hilo dubwasha lisilopiga mswakiWewe jamaa ushabiki wako niwakishamba sana.Unajiona mkamilifu kumbe nawewe wale wale tu.
yaliyosemwa yashabadilika? yamepoteza maana? au yalikuwa ya uongo?Video ya mwaka 47
Hahaaa kilio kikuu, ile radio inawachambuz wanafik sana wakiongozwa na GonzaYuko east africa radio kuna kilio kikuu kule jamaa anayewasaidiaga vouchers kafungiwa na wao mishahra hawalipwi basi tafrani tupu
πππKwahio wezi wawili wa magari (Manara +morisoni) ndani ya timu Moja ? Kuna hatari ya watu kuibiwa hata nyeti zao ndani klabu yao.
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app