Video: Jimmy Kindoki asema Manara alitakiwa kuwa jela

Video: Jimmy Kindoki asema Manara alitakiwa kuwa jela

Manara kafanya kosa gani? Nimeona tu nyuzi zake sijajua kosa amefanya
 
Hajji anamapungufu yake mengi sana,ila tusitumie maumbile yake kama fimbo ya kumchapia.....


NB:Binadamu hujafa hujaumbika
 
ndio maana walemavu wana idara yao.tumsamehee manara
 
Yaani kama siyo kujuana juana alhaji albino sope binobino kubwa la ma albino east africa lilitakiwa kuwa jela segerea basi tu ni kama toto dogo lichokozi linajua likitukana watu kuna vibopa watalikingia kifua liendeleze matusi yake


kuna li-logo lenu jekundu linachungulia kwenye gari mlilisahau na huyo mshabiki wenu mzandiki.!
 
Wewe jamaa ushabiki wako niwakishamba sana.Unajiona mkamilifu kumbe nawewe wale wale tu.
 
Wewe jamaa ushabiki wako niwakishamba sana.Unajiona mkamilifu kumbe nawewe wale wale tu.
UNAMJUA KILO 800 MWAKALEBELA WEWE? unamjua ahmed ally anayeongelea puani? usiniletee habari za ukamilifu when it comes kuhusu hilo dubwasha lisilopiga mswaki
 
Kwisha Habari yake
20220722_123518.jpg
 
Back
Top Bottom