VIDEO: Joseph 'Prof Jay' Haule akihudhuria kikao cha baraza kuu CHADEMA

VIDEO: Joseph 'Prof Jay' Haule akihudhuria kikao cha baraza kuu CHADEMA

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Mjumbe wa Baraza Kuu la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Joseph Haule ‘Prof Jay’ leo Januari 20, 2025, amefika katika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kikao cha baraza hilo kinachotarajia kufanyika ukumbini hapo.
Mbunge wa Nkasi Kaskazini, Aida Kenani na Joseph Haule maarufu Profesa Jay aliyekuwa Mbunge wa Mikumi tayari wamewasili kwenye Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam kuhudhuria kikao cha Baraza Kuu Chadema.

Katika ukumbi huo meza za mbele zitatumiwa na wajumbe wa Kamati Kuu na sekretarieti ya chama hicho pamoja na wageni waalikwa wa mkutano huo.
Snapinst.app_474394440_2409155509438887_4367171101689609364_n_1080.jpg
Soma, Pia:

- Uzi maalumu wa matokeo Uchaguzi wa Baraza la Vijana (BAVICHA) na Baraza la Wazee (BAZECHA) na wanawake (BAWACHA) CHADEMA Taifa 2025

- Joseph Haule (Prof. Jay) awaomba wananchi Kisanga kuichagua CHADEMA ili kuweka msingi mzuri kwaajili ya uchaguzi wa Rais 2025
 
Mjumbe wa Baraza Kuu la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Joseph Haule ‘Prof Jay’ leo Januari 20, 2025, amefika katika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kikao cha baraza hilo kinachotarajia kufanyika ukumbini hapo.
Daaah mshkaji bado hajarecover vyema... Tuzidi kumuombea kwa Mungu akae sawa. Ila nilidhani kwa sasa angekaa pembeni kabisa na shughuli za kisiasa zenye depression kubwa. Unless hawa wagombea kuna mmoja ana nufaika nae personally. Ila angepumzika...
 
Kinachonifurahisha ni kwamba ccm ndio waliopambana kuhusu afya ya Prof. Jay tofauti na chadema.

Anyway, mbona anatembea hvy au bado hajakaa vzr kiafya?
 
Wapitishe azimio la kumfukuza Lemma, Heche na Lissu uanachama
 
Mjumbe wa Baraza Kuu la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Joseph Haule ‘Prof Jay’ leo Januari 20, 2025, amefika katika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kikao cha baraza hilo kinachotarajia kufanyika ukumbini hapo.
Soma, Pia:

- Uzi maalumu wa matokeo Uchaguzi wa Baraza la Vijana (BAVICHA) na Baraza la Wazee (BAZECHA) na wanawake (BAWACHA) CHADEMA Taifa 2025

- Joseph Haule (Prof. Jay) awaomba wananchi Kisanga kuichagua CHADEMA ili kuweka msingi mzuri kwaajili ya uchaguzi wa Rais 2025
Inaweza kuwa ajabu mtu kama Prof.Jay kumpigia kura Lisu na kuwatosa waliomsaidia akiwa mgonjwa.
 
Daaah mshkaji bado hajarecover vyema... Tuzidi kumuombea kwa Mungu akae sawa. Ila nilidhani kwa sasa angekaa pembeni kabisa na shughuli za kisiasa zenye depression kubwa. Unless hawa wagombea kuna mmoja ana nufaika nae personally. Ila angepumzika...
Mbowe anamtumia kisiasa.
 
Huyu jamaa apewe tu ubunge kwa huruma ili apate japo pesa kidogo
 
Kinachonifurahisha ni kwamba ccm ndio waliopambana kuhusu afya ya Prof. Jay tofauti na chadema.

Anyway, mbona anatembea hvy au bado hajakaa vzr kiafya?
Hivi wewe una akili timamu kweli ww serikali wenye pesa za watz kugharamia matibabu ya huyu jamaa ndo imekuwa ccm mamamaeee
 
Back
Top Bottom