[Video]: Kenya MP's Vs Tanzania MP's.

[Video]: Kenya MP's Vs Tanzania MP's.

Status
Not open for further replies.

Mr. SADC_TZ

Senior Member
Joined
Nov 7, 2014
Posts
105
Reaction score
22
Jamani Wakuu nilijua ya kuwa MPs wa Tanzania ndio pekee wenye kukosa nidhamu na adabu katika Bunge, Lakini hiki nilichokiona....Dah afadhali kwetu sisi Dodoma.

 
Last edited by a moderator:
Hahaha wewe naona upo busy kuwapotezea Watanzania kule kwenye hoja za Escrow ili waje huku kuona vioja. Halafu tasemaje hii hapa ya Bongo.
 
Last edited by a moderator:
Hahaha wewe naona upo busy kuwapotezea Watanzania kule kwenye hoja za Escrow ili waje huku kuona vioja. Halafu tasemaje hii hapa ya Bongo.


Huyu ndio nani sasa.....huyo labda ni kiongozi wa dini ya kiislamu katika mihadhara ya mombasa alafu watu wa KDF wakaanza kumshambulia huyu kiongozi..kudhani ya kuwa wana preach chuki na mafundisho ya AL SHABABIANS.

Hayo mazingira hayasadifu mazingira ya BUNGE TAKATIFU la Tanzania.

Nenda youtube ukachimbe zaidi then ulete hapa tujue unahojaribu kusema..........!
 
Last edited by a moderator:
Jamani Wakuu nilijua ya kuwa MPs wa Tanzania ndio pekee wenye kukosa nidhamu na adabu katika Bunge, Lakini hiki nilichokiona....Dah afadhali kwetu sisi Dodoma.


EA-May-06-13-TZ-Parliament-in-session.jpg
 
Last edited by a moderator:
Huyu ndio nani sasa.....huyo labda ni kiongozi wa dini ya kiislamu katika mihadhara ya mombasa alafu watu wa KDF wakaanza kumshambulia huyu kiongozi..kudhani ya kuwa wana preach chuki na mafundisho ya AL SHABABIANS.

Hayo mazingira hayasadifu mazingira ya BUNGE TAKATIFU la Tanzania.

Nenda youtube ukachimbe zaidi then ulete hapa tujue unahojaribu kusema..........!
[h=1]Parliament sinks to new low as MPs fight with security officers[/h]
ico_plus.png
SHARE
ico_bookmark.png
BOOKMARK
ico_print.png
PRINT
ico_email.png
EMAILRATING




sugu.jpg
Mbeya Urban MP Joseph Mbilinyi resists as sergeants-at-arms attempt to throw him out of Parliament's debating chamber in Dodoma yesterday. Parliament descended into chaos when Deputy Speaker Job Ndugai ordered the ejection of the Leader of the Official Opposition, Mr Freeman Mbowe. PHOTO | FIDELIS FELIX
By The Citizen Reporters

Posted Thursday, September 5 2013 at 22:30

IN SUMMARY

  • Mr Mbilinyi ran towards the officer and head-butted him before they were quickly separated. Earlier, a total of 156 MPs voted against the withdrawal of the Bill and 59 supported it.









Dodoma. Opposition MPs and members of Parliament security team exchanged blows as the august House degenerated into a theatre of chaos yesterday.

Parliament's debating chamber was turned into a boxing arena when the Sergeant at Arms attempted to forcibly throw out the Leader of the Official Opposition in Parliament,

 





non logical reply...!unaleta cartoonsss.....zisizo na reality! we kweli hamna kitu kichwani. Nikikuletea huyu jamaa wanamwitgaga Hon Mr SELFIE KENYATTA....na mshirika wake wa uvutaji WEED NA MIRAA walipokuwa huko abhu dhabi.


B3i8OtMIYAA6LC0.jpg
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom