Video: Kenya Police Caught On Video Throwing Stones To Put Blame on Raila for Property Distruction

Video: Kenya Police Caught On Video Throwing Stones To Put Blame on Raila for Property Distruction

Polisi Kenya ndiyo waliosifiwa kuwa na mbinu, vifaa, na maarifa!?
Sasa akili ndiyo hizi hadi za kutumia nawe kuharibu Mali za RAIA kwa kutaka kuwageuzia wananchi kibao hawajui kuwa kila kona mtu anayopita kuna camera za aina zaidi ya tano (mifano, ni Camera kama Yashika, Camera za simu, CCTV camera , Camera za tablets mfano, iPads n.k.n.k)
Huku wakitusema Sisi Tanzania kuwa polisi yetu ni feki haina vifaa na hatuna lolote.

Hebu ona sasa , hizi mambo hata wiki mbili hazijaisha tangia report hii itolewe.

Africa ni pagumu sana.
 
Police wengi Africa wapo brain- washed. Ndo maana kule Zimbabwe baadhi yao wamechezea kichapo heavy baada ya kutaka kupingana na Jeshi
 
Police wetu wajinga sana dah! Haya uhuru ameanza kupeka carriers na vifaru statehouse, sijui kapanick ama nn!
FB_IMG_1510942189475.jpg
 


[emoji23][emoji23][emoji23]

Nimesikia polisi Kwa hiyo video akisema "ua!"... Some guy I was talking too confirmed the Nasarites were not destroying property or being disorderly..(he is not Luo)...The guy just like his nemesis has a large following which cannot be wished away...Since it is a "democracy" then such things paint a bad light on the powers that be...Just welcoming the guy home should not be squashed...
 
Police wetu wajinga sana dah! Haya uhuru ameanza kupeka carriers na vifaru statehouse, sijui kapanick ama nn! View attachment 632509
People's lives and property must be protected at all cost especially when the Economy and sovereignty of a Country is at stake. Were you expecting handshakes, hugs and toasting of glasses after the chaos and looting expirienced yesterday knowing very well on Monday the ScOK will make a very important ruling?
I fully support the above if indeed it is happening for I got a lot to loose if the country goes to the dogs just for one man to be President without the constituted framework provided.
 
People's lives and property must be protected at all cost especially when the Economy and sovereignty of a Country is at stake. Were you expecting handshakes, hugs and toasting of glasses after the chaos and looting expirienced yesterday knowing very well on Monday the ScOK will make a very important ruling?
I fully support the above if indeed it is happening for I got a lot to loose if the country goes to the dogs just for one man to be President without the constituted framework provided.
As a kikuyu,lazima you support.
Sometimes ni vizuri kuona ukweli...si lazima upinge kila kitu against government ya UK.
 
Back
Top Bottom