Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je! inawezekana Mtu anayetutukania mama zetu wa kutuzaa Yeye akawa sio Muhuni ?
#HUYU SASA NDIO MUHUNI WA WAHUNI MSIKILIZE KWA MAKINI,
View attachment 2041395
Jamaa anashida kubwa aiseHuyu Polepole apelekwe Milembe haraka.
Huu sasa ndio Uhuni,Daaah mdomo mchafuJe! inawezekana Mtu anayetutukania mama zetu wa kutuzaa Yeye akawa sio Muhuni ?
#HUYU SASA NDIO MUHUNI WA WAHUNI MSIKILIZE KWA MAKINI,
View attachment 2041395
Muache atunyoshee wahuni!Huyu Polepole apelekwe Milembe haraka.
Mbona Wizara ya Afya inamuangalia tu Mtu ambae ana matatizo ya Afya ya Akili.Jamaa anashida kubwa aise
Akili zao Sukuma GANG hazinaga akili, wanapuyanga tu..Nje ya Mada.
Aaaaaaaaaa huyu jamaa mhuni kabisaa!!😆😆😆Je! inawezekana Mtu anayetutukania mama zetu wa kutuzaa Yeye akawa sio Muhuni ?
#HUYU SASA NDIO MUHUNI WA WAHUNI MSIKILIZE KWA MAKINI,
View attachment 2041395
Mkuu rudi CCM tujenge nchiHuyu Polepole na Bossi wake ndio walionifanya nizinduke na kuihama CCM sitawasahau.
Nimeshazinduka baada ya kuvutishwa Moshi wa Mwenge kwa miongo mingi.Mkuu rudi CCM tujenge nchi
Swadaktaaa, ukijaribu kuuiga unaumbuka dakika moja nyingi! Jamaa linaendelea kuumbuka na muda si mrefu litapotea mazima!Uadilifu hauigizwi!
mmeambiwa wahuni ni wakwepa kodi!!!Huu sasa ndio Uhuni,Daaah mdomo mchafu