VIDEO: Kiashiria cha mtu muhuni na asiyefaa kuaminiwa na Jamii yoyote iwayo duniani

VIDEO: Kiashiria cha mtu muhuni na asiyefaa kuaminiwa na Jamii yoyote iwayo duniani

Je! inawezekana Mtu anayetutukania mama zetu wa kutuzaa Yeye akawa sio Muhuni ?

#HUYU SASA NDIO MUHUNI WA WAHUNI MSIKILIZE KWA MAKINI,

View attachment 2041395

cdm.jpeg
 
Huyu chakubanga alilewa sana madaraka na sasa sponser amekufa ameanza kupata kibano.
 
Madaraka hulevya..! Chakubanga na timu yake ya Sukuma GANG walilewa madaraka sana.
 
kiswahili chepesi kabisa, au mleta mada haujawahi kunyonya? tusi liko wapi
 
Back
Top Bottom