K Kendr Member Joined Aug 28, 2022 Posts 5 Reaction score 15 Sep 12, 2022 #21 dudus said: ... yule Fashisti hanaga akili. Click to expand... Anaumbuka
L Lubengera JF-Expert Member Joined Jun 21, 2019 Posts 963 Reaction score 1,551 Sep 12, 2022 #22 dudus said: ... atajibiwa ipasavyo! Let the mad man try her madness. Click to expand... Ngoja tusubiri majibu.
dudus said: ... atajibiwa ipasavyo! Let the mad man try her madness. Click to expand... Ngoja tusubiri majibu.
A Aleyn JF-Expert Member Joined Nov 12, 2011 Posts 21,058 Reaction score 36,272 Sep 13, 2022 #23 dudus said: Actually mimi sijaona vifaru vya mrusi vikibomolewa; instead nimeshuhudia vikichomwa kama toilet paper na Javelin. Click to expand... Javelim ni hatari mno Ikirenga shabaha yake inakuwa hivi... 1. Inapga pale kwenye mlango wa kuingilia ndani ya kifaru, ikipiga inasababisha moto kuwaka. 2. Inakilipua kifaru completely, yaani inakipasua haswa, inakipasua kiasi kwamba kifaru hakiwezi kufanya lolote zaidi ya kubaki chuka chakavu tu.
dudus said: Actually mimi sijaona vifaru vya mrusi vikibomolewa; instead nimeshuhudia vikichomwa kama toilet paper na Javelin. Click to expand... Javelim ni hatari mno Ikirenga shabaha yake inakuwa hivi... 1. Inapga pale kwenye mlango wa kuingilia ndani ya kifaru, ikipiga inasababisha moto kuwaka. 2. Inakilipua kifaru completely, yaani inakipasua haswa, inakipasua kiasi kwamba kifaru hakiwezi kufanya lolote zaidi ya kubaki chuka chakavu tu.