FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Wakati tukijadili namna kamati ya viwanda toka wizarani ilivyomnanga Masoud Kipanya na vigari vyake, tuangalie namna Ghana inavyotengeneza magari kama Japan kwa sasa....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu Kipanya si tumeambiwa ni muhuni? Basi wazalishe wao hata tooth pick tu tuoneKp motors
Uwezo wa watanzania ni kununua magari ya Toyota yaliyotumika sio mapya uwezo huo wa kununua mapya watanzania wengi hawanaSisi tuna kila sababu za kushawishi Toyota kufungua kiwanda hapa kutokana na namba za magari tuliyonayo na tunayoagiza, sijajua tunakwama wapi.
Toyota hawafati namba wana mambo mengi wanayoangaliaSisi tuna kila sababu za kushawishi Toyota kufungua kiwanda hapa kutokana na namba za magari tuliyonayo na tunayoagiza, sijajua tunakwama wapi.
Serikali itanunua kwa kuanzaUwezo wa watanzania ni kununua magari ya Toyota yaliyotumika sio mapya uwezo huo wa kununua mapya watanzania wengi hawana
Hayatapata soko mapya
Serikali hainunui kila mwaka magari yaweza nunua mapya mwaka huu ikaja kununus mengine baada ya miaka 10 na haiweki order kubwa sana sababu mengine yanakuwa bado mazimaSerikali itanunua kwa kuanza
IST brand new sio USD 800 elewa hilo kwanza! Purchasing power 0!Sisi tuna kila sababu za kushawishi Toyota kufungua kiwanda hapa kutokana na namba za magari tuliyonayo na tunayoagiza, sijajua tunakwama wapi.
IST brand new sio USD 800 elewa hilo kwanza! Purchasing power 0!
Tuanze na viwanda vidogo vidogo toothpick, pamba stick, leather products, etc. then boda, bajaji, etc. Viwanda vya magari mahali ambapo bei ya maharage, sukari, unga, mafuta ya kula,vetc. ni issue haiingii akilini.Mzee Mengi amefariki na ndoto yake, nakumbuka alii publicise kabisa hii habari ya kutaka kufungua kiwanda cha magari.
Bahati mbaya amefarikia huku ndoto yake ikiwa haijakamilika
Mkuu sio kwamba viwanda vyote hivyo hatuna, la asha!Tuanze na viwanda vidogo vidogo toothpick, pamba stick, leather products, etc. then boda, bajaji, etc. Viwanda vya magari mahali ambapo bei ya maharage, sukari, unga, mafuta ya kula,vetc. ni issue haiingii akilini.