Na Kwa mechi ilivyokuwa, ukifuatilia Kwa makini kabisa, maamuzi ya refree yalikuwa very fair, magoli yote ni halali na wameonyesha umakini wa juu kabisa katika maamuzi.
Wala hawakustahili kuzongwa kama walivyozongwa na wachezaji wa timu zote mbili. Tena kama angekuwa refa mwingine Kadi nyingi Sana zingetembea. Binafsi nawapongeza waamuzi Kwa weredi mkubwa waliouonyesha.
Yanga ni kama walikuwa na matokeo tiyari Jambo ambalo sio la kiuwana mchezo.
Wala hawakustahili kuzongwa kama walivyozongwa na wachezaji wa timu zote mbili. Tena kama angekuwa refa mwingine Kadi nyingi Sana zingetembea. Binafsi nawapongeza waamuzi Kwa weredi mkubwa waliouonyesha.
Yanga ni kama walikuwa na matokeo tiyari Jambo ambalo sio la kiuwana mchezo.