luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
Fisi ni yule Mchezaji wenu mliyedanganywa anaitwa FISI..ton usianze kujitukana mwenyewe we Mtopolo De UtelembweWe kweli fisi
Kiongozi Ngulukizi siku hyo watamuua mwamuzi chukulia ile penati ya jana ilikuwa clear kabisa halafu Kaze ambae tunaaminishwa ametokea Academy ya baselona anasema sio penalty na kumulaum refa naungana naww siku utopolo wakifungwa jeshi liwe karibNilichokiona kwa Yanga wameweka matumaini makubwa sana Kuwa wao hawawezi kupoteza mchezo wowote kitu ambacho ni kibaya sana kwenye mpira hapo wametoka sare je siku wakifungwa si ndio Itakuwa balaa
Hujamjua yule mkulima ni jeshi la anga grade One OVAPia Kaseke ni fala sana anajiona ana uchungu sana. Mara atoe mataulo ya magoli kipa mara akague nguzo, ni mchezaji asiyejitambua.
Kaseke kwa sasa hata mtoto mdogo anajua kuwa ni mshirikina. Anaharibu careeer yake kwa vitu vya karne ya 15 shame on himHujamjua yule mkulima ni jeshi la anga grade One OVA
Sasa Refarii alikosea wapi kwa mechi ya jana uto bhana hamkosagi sababuKitendo cha kuzozana na refa hakikubaliki kwenye soka, lakini kusema refa wa Jana alimudu mchezo ni kuikosea heshima kada ya waamuzi duniani.
Yule mrundi alidhani hii ligi ni rahisi kama kunyoa Vu.. Z...i amekutana na kisiki na ajue mzunguko wa kwanza timu nyingi zilishawazoea miaka ya nyuma kuwa yakawaida msimu huu wamekamia ndo mana mzunguko umeisha wakiwa juu ila kwa duru hili lapili timu zimeshamsoma akiweka mguu wa kichwa wenzake wanaweka wa shingo lazima ataonyesha mzigo tuKitendo cha Kocha Cedric kwenda kutoa mkono kwenye taharuki kama ili inaweza kuhesabiwa kama kejeli. Kama umeangalia vizuri baada ya filimbi ya mwisho Sarpong alimfata refa akawa anampigia makofi sasa hiyo unaweza kutafsiri kuwa ni Far Flay?
Aliyeonekana ana anaepusha rabsha ni Lamine Moro, Faisal na Kibwana lakini wengine wamezua rabsha sana akiwemo Mukoko.
Kama haitoshi akizungumza baada ya mchezo na Azam Sports Kocha Cedric Kaze amesema;
"Hatuwezi kuwa na marefa wa namna hii, hakuna ambaye ameona penalty ila ni yeye tu
Malengo yetu ni ubingwa japo kuna watu wanataka kutukatisha tamaa, lakini hatukati tamaa"
Kwa kauli hiyo maana yake anahujumiwa..Je ni kweli? Hapo sasa utapima mwenyewe hiyo kauli na Far Flay...!
Utopolo wanalazimisha wachukue ligi kitu ambacho kiukweli ni kigumu kama ngamia kupenya kwenye tundu la sindanoIle Siyo Team, Ni Genge La Wahuni Wachache
Una macho au vidonda?hapo kuna vurugu gani sijaona hata refa kuguswa
Akili za uto kweli sijawahi ona sasa refa alibolonga kivipi yaniUlisimuliwa au uliona?
[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]Fisi ni yule Mchezaji wenu mliyedanganywa anaitwa FISI..ton usianze kujitukana mwenyewe we Mtopolo De Utelembwe
Anajua kila timu inabeba mahilizi kama yeye yule jamaa mjinga sijawah onaKaseke kwa sasa hata mtoto mdogo anajua kuwa ni mshirikina. Anaharibu careeer yake kwa vitu vya karne ya 15 shame on him
unaijua fujo ww hapo kuna fujo kwa macho yako ya mariengeUna macho au vidonda?
Wewe mkosa akili unadhani kila anae kupinga ni shabiki wa Yanga?Akili za uto kweli sijawahi ona sasa refa alibolonga kivipi yani
Stress mbaya sana, Embu angalia VIDEO ya Huyu Shabiki wa Utopolo mmojawapo ya Waliofanyafujo anavyobwabwaja ujinga.dah yaani unaona kabisa yanga wan stress
Kitendo cha Kocha Cedric kwenda kutoa mkono kwenye taharuki kama ili inaweza kuhesabiwa kama kejeli. Kama umeangalia vizuri baada ya filimbi ya mwisho Sarpong alimfata refa akawa anampigia makofi sasa hiyo unaweza kutafsiri kuwa ni Far Flay? Aliyeonekana ana anaepusha rabsha ni Lamine Moro, Faisal na Kibwana lakini wengine wamezua rabsha sana akiwemo Mukoko.
Kama haitoshi akizungumza baada ya mchezo na Azam Sports Kocha Cedric Kaze amesema;
"Hatuwezi kuwa na marefa wa namna hii, hakuna ambaye ameona penalty ila ni yeye tu
Malengo yetu ni ubingwa japo kuna watu wanataka kutukatisha tamaa, lakini hatukati tamaa"
Kwa kauli hiyo maana yake anahujumiwa..Je ni kweli? Hapo sasa utapima mwenyewe hiyo kauli na Far Flay...!
Apigwe rungu kwa kosa gani alilofanya uliloliona wewe?Yaan Kaze pale ndio mwisho wa mbinu zake .....sasa ajiandae tu mkong'oto iyo march 8
Yanga wana pendana kulalamika kwa kila maamuzi yatakayo chukuliwa juu yao yaan wana jiona wao ni watu wa IQ kubwa sanaa kumbe ni mazwazwa
Tazama wana mmadeni ya wachezaji wao wanzamani, msemaji wao hawakumlipia faini on time
Sasa huyu kaze akipigwa rungu la TFF si wana yanga wote wata harisha