Video: Kombora la Urusi lachanganyikiwa na kurudi lilikofyatuliwa

Video: Kombora la Urusi lachanganyikiwa na kurudi lilikofyatuliwa

Mimi mbona nipo siku zote, sema huwa nawaacha kwa masaa machache mniquote kabisa kisa narudi na kuwajibu nyote kwa mpigo mmoja, hamnipi tabu, pia kule Quora napelekeshana na Warusi balaa, halafu siku hizi naona na Waarabu Quora wameingia kwenye propaganda za Urusi, tunabishana nao sana na hata waatrabu wa nyie hapo Bongo.
Ha ha unawatia aibu wakenya wenzio kwa Pumba zako br .

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Coments zinesema ni propaganda ni uongo mtupu, sasa habari hii igeuke iwe kombora la Ukraine limegeuka na kuwarudia wenyewe ,hapo utaona coments kama , Russia ni Taifa Teule.
Sasa kama taifa TEULE tusiseme
Hatakama habari itakua yaukweli haitaondoa ukweli uwazi nauhalisia wakinachojiri huko field
RUSSIA TAIFA TEULE
 
Mimi mbona nipo siku zote, sema huwa nawaacha kwa masaa machache mniquote kabisa kisa narudi na kuwajibu nyote kwa mpigo mmoja, hamnipi tabu, pia kule Quora napelekeshana na Warusi balaa, halafu siku hizi naona na Waarabu Quora wameingia kwenye propaganda za Urusi, tunabishana nao sana na hata waatrabu wa nyie hapo Bongo.
Waarabu wamechoka kumlamba miguu US na dada zake
 
Tatizo hawana pakwenda maana Urusi waliyekua wanamtegemea ndiye huyu tunaona alivyo dhaifu.
Urusi ni imara kuliko US na watoto wake wote wa ulaya, ndio maana hata akipiga hospital hakuna mbuzi anae weza kumpiga, sasa angefanya Assad ungeona
 
Mimi mbona nipo siku zote, sema huwa nawaacha kwa masaa machache mniquote kabisa kisa narudi na kuwajibu nyote kwa mpigo mmoja, hamnipi tabu, pia kule Quora napelekeshana na Warusi balaa, halafu siku hizi naona na Waarabu Quora wameingia kwenye propaganda za Urusi, tunabishana nao sana na hata waatrabu wa nyie hapo Bongo.
🤔🤔🤔 Unajibu nini tena bro ubao 3 kwa bila na dakika za lala salama, be a good boy 2kukumbuke kwenye utawala wetu ZZZ once ol these ar ova
 
Back
Top Bottom