Waziri wa Tanzania amehojiwa na kukiri kwamba mkulima aliyekamata ndege yao pia aliwahi kukamata meli ya Tanzania, yaani hili deni amehangaika nalo sana, sijui kwanini Wabongo wanamdhulumu hivi.
HaifungukiWaziri wa Tanzania amehojiwa na kukiri kwamba mkulima aliyekamata ndege yao pia aliwahi kukamata meli ya Tanzania, yaani hili deni amehangaika nalo sana, sijui kwanini Wabongo wanamdhulumu hivi.
This is funny as hell kutoka kwa taifa la "tumefanya na pesa zetu za ndani"Waziri wa Tanzania amehojiwa na kukiri kwamba mkulima aliyekamata ndege yao pia aliwahi kukamata meli ya Tanzania, yaani hili deni amehangaika nalo sana, sijui kwanini Wabongo wanamdhulumu hivi.
Akili zenu kama wa south Africa tu.
πππππ anajifanya bingwaHuyo atakuja kukamata sehemu nyeti ya mkulu.
π€£π€£π€£π€£π€£ mkulima ni tapeli, anatumia sheria uchwara kupora mali zetu.Huyu mkulima kiboko.Tunahutaji wakulima watano tuu kama hawa njaa iwe historia tanzania
This is funny as hell kutoka kwa taifa la "tumefanya na pesa zetu za ndani"
That proverbial lie by Bongolalas inaonyesha huwa hawana pesa hata leo nimeona credit rating ya Tz imeshushwa to B1 negative .Kenya has never had any of its assets seized for debt.