Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ww ni mmoja ya watu wanao amini kua aliyemuumba huyo mtengeneza robot, yeye hajaumbwa?Kuna watu wanaakili fupi sana
Hio roboti wanaamini kuna aliyeitengeneza
Lakini hawaamini kuwa yupo aliemtengeneza/aliye muumba binadamu
How can A creator Be Created??Ww ni mmoja ya watu wanao amini kua aliyemuumba huyo mtengeneza robot, yeye hajaumbwa?
Kama unaamini hivyo sioni sababu ya wewe kuziona akili fupi kwa mwenzako wakati na wewe una face tatizo hilo hilo
hapo chumbani ulipolala hujui nyuma ya ukuta nini kinaendelea halafu unataka kuhoji kilichopo juu ya mbingu saba kwa akili ya K-VANT...Ww ni mmoja ya watu wanao amini kua aliyemuumba huyo mtengeneza robot, yeye hajaumbwa?
Kama unaamini hivyo sioni sababu ya wewe kuziona akili fupi kwa mwenzako wakati na wewe una face tatizo hilo hilo
Hakuna atheist mwenye perception hiyoAll in all....ipo siku wasio amini wataamini tu lakini kuamini kwao hakutowafaa kitu kwani watakuwa washachelewa...
M/mungu atujaalie tusiwe miongoni mwa watakao kula hasara.....Aamin
View attachment 2092345
View attachment 2092346
View attachment 2092347
jibu simple anaumba anavyopenda! kwani unadhani hapa duniani tumekuja kula bata!? hapa ni sehemu ya mitihani ndio maana hao wamekutwa na huo na wewe unakutwa na mwingine ukimwi, ajali, kufukuzwa kazi, mke pasua kichwa n.k yote ni masaibu ya dunia..Sijui wewe unauoanaje uumbaji huu ambapo muumbaji anadaiwa kua ni perfect
View attachment 2092484
View attachment 2092485
Kwanini na engineer aliyeumba huyo robot usimuangalie katika angle hiyo hiyo kua ameumba anavyopenda?jibu simple anaumba anavyopenda! kwani unadhani hapa duniani tumekuja kula bata!? hapa ni sehemu ya mitihani ndio maana hao wamekutwa na huo na wewe unakutwa na mwingine ukimwi, ajali, kufukuzwa kazi, mke pasua kichwa n.k yote ni masaibu ya dunia..
yeye anaumba anavyopenda hana wa kumpangia kama ambavyo wewe umekuwa binadamu na hujahoji kwanini usingekuwa tumbili..