Hakika inaonyesha Ukraine wanakukuna kunako kwa mapinduzi wayafanyayo huko Ukraine hali inayokupelekea ujawe na furaha gy-sivyo?!Kejeli zimewapungua humu, Ukraine wanafanya mambo hadi nashindwa kufanya kazi hapa kwa raha ninayopata.
Kule Quora mapropaganda hawana hamu...
Yawezekana umepata namna ya kujifariji Kwa kuamini uongo na kuukataa ukweli!Kejeli zimewapungua humu, Ukraine wanafanya mambo hadi nashindwa kufanya kazi hapa kwa raha ninayopata.
Kule Quora mapropaganda hawana hamu...
Kuna video inasambaa ikionyesha Putin anavyopata mrejesho wa vita kutoka kwa jenerali, huku amekumbatia meza kwa huzuni, huyu mwana kaanzisha shughuli ambayo inamtesa sana kwa kweli.....
Vita vikiisha Russia inabid wakaguliwe marinda maana siyo kwa mziki huu wanaochezeaKuna video inasambaa ikionyesha Putin anavyopata mrejesho wa vita kutoka kwa jenerali, huku amekumbatia meza kwa huzuni, huyu mwana kaanzisha shughuli ambayo inamtesa sana kwa kweli.....
Anaumwa Parkinson nadhani ipo hatua za awali asiposhikilia meza mkono.....mkono unakuwa unatetemeka wenyeweKuna video inasambaa ikionyesha Putin anavyopata mrejesho wa vita kutoka kwa jenerali, huku amekumbatia meza kwa huzuni, huyu mwana kaanzisha shughuli ambayo inamtesa sana kwa kweli.....
Wewe ndo unateseka ndugu...muda wote unajaribu kujitia moyo.....Putin huko aliko hajui kwamba kuna jamaa wanateseka nusu kifo sababu yake....Kuna video inasambaa ikionyesha Putin anavyopata mrejesho wa vita kutoka kwa jenerali, huku amekumbatia meza kwa huzuni, huyu mwana kaanzisha shughuli ambayo inamtesa sana kwa kweli.....
Vita jamaniKuna video inasambaa ikionyesha Putin anavyopata mrejesho wa vita kutoka kwa jenerali, huku amekumbatia meza kwa huzuni, huyu mwana kaanzisha shughuli ambayo inamtesa sana kwa kweli.....
Ndo wamekuambia hivyo?au wewe ni CIA wa bonyokwaMajenerali wamemchoka.