Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenye akili hawezi kuendana na wenye bongolala.Huyu jamaa ana upeo mkubwa na ushawishi mkubwa ni vile mifumo yetu ipoipo tu inabidi uende na akili za aliyekupa nafasi zako uweke mfukoni.
Yule hana shida,,lile tamko la mabango actually lililenga kuonyesha nchi imekuwa huru,free shida hakujua namna ya kuliwakilisha mbele ya hadhira,,akachapia...,I like the guy. Yuko huru kifikra.
No depression, no stress, no accountabilities, what else?
Aisee huyo mtu Chalamilla ndiye unasema anaupeo kubwa na anaushawishi???? Aisee unamatatizo ya AKILI wewe huyu mtu ukimtazama tu unamuona huyopo sawa kabisa kiakili na hafai hata kuwa kiongoze wa familia.Huyu jamaa ana upeo mkubwa na ushawishi mkubwa ni vile mifumo yetu ipoipo tu inabidi uende na akili za aliyekupa nafasi zako uweke mfukoni.
Wachawi nomaLazima maisha yaendelee. Vyeo, majumba na magari yataachwa hapa hapa duniani. Big up Chala.
Kama vile chadema wanavyowapa vyeo vichaa kama kina pambalu na mgombea ambaye ndiyo chizi kabisa lissu yaani sijui wanatoaga wapi hayo mataahirakuwapa vyeoIpo cku ccm itawapa vyeo wehu!!!
Na hata mm nilimwelewa hivyo. Sijui kwann waliomteua wakachukia?Yule hana shida,,lile tamko la mabango actually lililenga kuonyesha nchi imekuwa huru,free shida hakujua namna ya kuliwakilisha mbele ya hadhira,,akachapia...,
Tafsiri yako tu hii mkuu. Yawezekana wewe unayetafsiri hivi, weww ndiyo una ugonjwa wa akili na ndiyo sabb unashindwa kumwelewa Chalamila unapomtazama.Aisee huyo mtu Chalamilla ndiye unasema anaupeo kubwa na anaushawishi???? Aisee unamatatizo ya AKILI wewe huyu mtu ukimtazama tu unamuona huyopo sawa kabisa kiakili na hafai hata kuwa kiongoze wa familia.