Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #41
😆😆😆Atakuja kujitangaza uyo mzee kuwa ni rais
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😆😆😆Atakuja kujitangaza uyo mzee kuwa ni rais
ccm inawaokota hawa vijana na kuwang'oa ubongo halafu wanatupwa mitandaoni kutetea ujingaMbona wewe jamaa ni mpumbavu sana? Kwani una shida gani kichwani?
Mambo kama haya yanweza kutokea Tanzania pekee hapa Duniani.Sheria zipo lakini zinapindishwa/zinavunjwa bila hofu na watawala wasiojali.Hivi hata huo Uwenyekiti wa TUME aliupatapataje.... Au ndiyo Ukada wenyewe huo!?
CCM ni tatizo kuliko ujuavyo ?Mambo kama haya yanweza kutokea Tanzania pekee hapa Duniani.Sheria zipo lakini zinapindishwa/zinavunjwa bila hofu na watawala wasiojali.
Fikiria,hivi Jecha huyu angemtangazaje Mh.Maalim Seif Shariff kushinda uchaguzi 2015?Ukada wake angeupeleka wapi?Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi anapogombea,ni sawa na refa kupiga penalti kwa niaba ya timu mojawapo aipendayo.
Viongozi wa Tume pia ni wanasiasa?
Huyu mzee haoni Soni hata chembe. Kwa aliyoyafanya hakutakiwa kuonekana hadharani. Angejichimbia kigamboni kawa hayati Jumbe.huyu dishi lisha yumba alikuwa mwenyekiti mwaka 1915-18 hahahahaha X
kama alihaidiwa uraisi kwa yale aliyo yafanya atasubiri sana.
Hakuna mwanaccm mwenye aibuHuyu mzee haoni Soni hata chembe. Kwa aliyoyafanya hakutakiwa kuonekana hadharani. Angejichimbia kigamboni kawa hayati Jumbe.