Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ndio hawakutaka hizo siri zitoke ndio maana wakamuuaNimeitumia kidogo mkuu.
Kwa dhamira ya Hamza, ile siku uwezekano wakumpata akiwa hai ulikuwa mkubwa sana.
Kwani mkuu jamaa wangempiga hata miguu ingekuwaje?
Yule mwamba alikufa na siri nyingi sana.
Sasa unakuta mtu kaingizwa jeshi na mjomba hata yale mafunzo ya technically hakuyapata vizuri.........unafikiri ataenda kufanya nini akiitwa eneo kama lile???Nimeitumia kidogo mkuu.
Kwa dhamira ya Hamza, ile siku uwezekano wakumpata akiwa hai ulikuwa mkubwa sana.
Kwani mkuu jamaa wangempiga hata miguu ingekuwaje?
Yule mwamba alikufa na siri nyingi sana.
Mkuu umeshawahi kutumia bunduki?Nimeitumia kidogo mkuu.
Kwa dhamira ya Hamza, ile siku uwezekano wakumpata akiwa hai ulikuwa mkubwa sana.
Kwani mkuu jamaa wangempiga hata miguu ingekuwaje?
Yule mwamba alikufa na siri nyingi sana.
Siungi mkono uuwaji wa hamza ila kjmiga miguuni risasi mtu mwenye AK mkononi bado haujafanya kitu,unajua what next ?Kwani mkuu jamaa wangempiga hata miguu ingekuwaje?
YAani mtu yuko na AK full magazine 30 alafu umpige risasi ya mguu wakati huo bado amekamatia ak yake mikononi ?Mkuu umeshawahi kutumia bunduki?
Ushauri mzuri!Siungi mkono uuwaji wa hamza ila kjmiga miguuni risasi mtu mwenye AK mkononi bado haujafanya kitu,unajua what next ?
Utampandisha temper na inaweza kupelekea madhara zaidi kwa sababu bado anao uwezo mikononi wa kufanya mashambulizi.
Labda ungeshauri snipers wangetafuta angle nzuri za kumpira risasi mikononi ili aishiwe nguvu asiweze tena kutumia silaha hizo.
Kibongo bongo Police wakihisi una silaha na umefanya/umejaribu kufanya uhalifu, lazima wakuue kabla hawajakufikia/ukifa ndio watakusogelea.Na ndio hawakutaka hizo siri zitoke ndio maana wakamuua
How sure are u kuwa aiishiwa rounds? Did u check the magazines?Mbona Hamza risasi zilimwishia?
Hivi suluhisho lilikuwa moja tu ?
A good thing alikuwa hawashambulii raia
Sawa!How sure are u kuwa aiishiwa rounds? Did u check the magazines?
Kanuni za PLAN, nguvu iliyotumika ni sawa sawa na nguvu alokuwa nayo
Umesikia ya Vingunguti?How sure are u kuwa aiishiwa rounds? Did u check the magazines?
Kanuni za PLAN, nguvu iliyotumika ni sawa sawa na nguvu alokuwa nayo
Kama ni kweli walikuwa na machetes na dhamira ya kutekeleza uhalifu kama inavyosemekana they deserved death!Umesikia ya Vingunguti?
Police wameshindwa kuwakamata Vijana 6 waliokuwa na Silaha aina ya Mapanga.
Wakaua hapo Watatu wengine Watatu walitoroka.
Means hakuna aliyeshikwa akiwa hai.
Na hao waliokimbia ndio pona pona yao.
Jeshi la Polisi la Tanzania wanapaswa kuwa na Ueledi zaidi.
Tizama Video
Huyu ndugu yetu Hamza tusingempoteza.
View attachment 2851736
View: https://youtube.com/shorts/6h1kmOlwE34?si=xwdoAccRSXkUmYeh
Tatizo ilikuwa ngumu kudhibitisha kwa wakti ule kwamba kaishiwa kweli au la..Mbona Hamza risasi zilimwishia?
Hivi suluhisho lilikuwa moja tu ?
A good thing alikuwa hawashambulii raia