Video : Maajabu Polisi Kenya jana kubeba Raia kushangilia Maamuzi ya Supreme Court kuhusu Uchaguzi!!!

Video : Maajabu Polisi Kenya jana kubeba Raia kushangilia Maamuzi ya Supreme Court kuhusu Uchaguzi!!!

Kenya wanauzidi hata USA kwa Demokrasia wacha kuwalinganisha na Tanzania. Sisi tulinganishe na Burundi au Rwanda au Somalia

Sent using Jamii Forums mobile app
No kidding ,hiyo ndiyo kauli yao leo katika gazeti maarufu la New York Times opinion page.
h98UVax.png
 
Hapo maana yake ni kwamba polisi nao walikuwa wanashangilia ndiyo maaña wakaungana na raia kushangilia. Hivi hiyo ingetokea hapa kwetu sura ya aliyetenguliwa ingeonekanaje? Angalia Uhuru Kenyatta alivyokuwa na alichosema. Ingekuwa Tz, amiri jeshi angetimiza uamiri jeshi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini hawafai kuonyesha hili hata kidogo sababu ya professionalism -lazima wake neutral .Sasa wakitumwa ngome ya rais Uhuru wataweza kufanya kazi yao bila upendeleo kweli?
 
Hata sisi ipo siku Siro atatupa lift
 
Back
Top Bottom