joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Dogo kanusa tu vimafanikio, gombe sugu limemuweka mtu kati linavuna. Baada ya miaka 2 unakuta dogo kapaukaaa na bibie kadaka kichwa kipyaa. Hivi huwa hawajifunzi kwa kaka zao waliotangulia au ndio kufa kunoga?
Kwakweli dunia imeisha , yaan anakabemenda weee , alafu wanajitangaza sana
Kama lile Tundu halina makunyanzi acheni kijana afaidi mana kupiga mbao msasa hakujalishi hata ikiwa ngumu itasuguliwa tu..
Nani sasa harmo au JakieAnajiaibisha tu
HatariHalafu wanapenda kiki hao hatari.Huyo wolper sasa akicheka na lile pengo lake ndio nazidi kumuona mtu mzima
Diamond yeye mkubwa keshakomaa kiakili sio kama hamonaizMbona Zari na Diamond hamsemi?