VIDEO: Madhara ya kupenda Ma sugar-mummy - huyo hapo Harmonize na Wolper

VIDEO: Madhara ya kupenda Ma sugar-mummy - huyo hapo Harmonize na Wolper

Huyu Muuza maji hakuwahi kuwa na ndoto hizi muacheni tu

Hoja ya " kipuuzi " kutoka kwa Mtu " mpuuzi ". Yeye kutokea katika kuuza Maji na leo kufanikiwa Kimaisha kupitia Kipaji chake kunahusiana nini na hiyo Private Life yake na huyo Bibie? Hivi unajua historia ya Mzee Bakhresa na Mzee Mengi au Kijana mwenzetu Millard Ayo hadi leo wamekuwa na Uwezo mkubwa wa Kipesa walionao? Nina uhakika pamoja na kwamba unamdharau huyo Dogo kwakuwa alianzia kuuza Maji lakini Kipesa naamini anaweza kununua Wewe hadi Mkeo na " akawafinyanga finyanga " anavyotaka hadi mkaishia kumwamkia Shikamoo! Acha na Ukome kuwadharau Wenzako. Wewe ambaye hujauza Maji au umekulia hayo maisha mema una lipi la kujivunia? Kapuku mkubwa Weye!
 
Ndege akiwa mzima hula funza na akifa huliwa na funza kama kuku tu akiwa mzima hula mchele na akichinjwa huliwa na mchele mwacheni kijana aliwe akizani kuwa anakula
Haha ujana Raha bhana [emoji3]
 
Huyu nae alitaka kuwa mbunge viti maalumu vya rais au mkuu wa wilaya Lowasa angechaguliwa duh kazi kweli kweli.
 
Madhara may be kupata Ukimwi acha niendelee wa kuwagonga tuu sasa kama yanajileta jee
 
Back
Top Bottom