Hechinodemata
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 1,488
- 3,338
Do noma wacha madogo wapige papuchi huru
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Husimfananishe mama na mwanamke ulalalae naye hairuhusiwi ktk vitabu vya diniSasa huyo si kama mama yake mdogo! Aangalie tuu ukimwi maana unameza watu mno na bongo muvi hiyo.........
SureLabda mnisaidie
Mapenzi ya kitoto yapoje? ?
Naamin hayo mambo ni ya kawaida katika mapenz
Haina haja ya kumsemasema kijana. Wengi ni wivu tu. Lile jimama lake hata mie nalitamani. Mambo yale ni ya kawaida sana katika mapenzi.Sure
Usiseme mama coz no one can compare with a mummyAnakula mama yake
Uwoga some tyme ni chanzo cha umasikiniVijana wamekuwa majasiri sana hawana woga hata kidogo.
Hongera zake kwa kweli, sasa kishatoboa, haijalishi ulikuwa nani ukinuia kufanikiwa lazima utafanikiwa.kwenye nia pana njia
ndo walewale!!Diamond yeye mkubwa keshakomaa kiakili sio kama hamonaiz
Huyu Muuza maji hakuwahi kuwa na ndoto hizi muacheni tu
Kweli kadhihirisha focus na kutokata tamaa, malipo yake ni mafanikioAlikuwa muuza maji kariakoo
Ndege akiwa mzima hula funza na akifa huliwa na funza kama kuku tu akiwa mzima hula mchele na akichinjwa huliwa na mchele mwacheni kijana aliwe akizani kuwa anakulaWacha dogo ale maini yake vinje tam Sana hilo
teh teh teh! kucheza chindimbaAnataka kupeleka nchaga ntwara.
Haha ujana Raha bhana [emoji3]Ndege akiwa mzima hula funza na akifa huliwa na funza kama kuku tu akiwa mzima hula mchele na akichinjwa huliwa na mchele mwacheni kijana aliwe akizani kuwa anakula
Hehehehe ncheje chindimbaateh teh teh! kucheza chindimba
Ndio hivyo tena vijana wanapenda kuamkiwa "shikamoo "maana wakiongozana kisha kikatokea kibinti umri wa huyo kijana kikimuamkia huyo ajuza na dogo nae ataitikia.Anakula mama yake
HeheheheeeeNdio hivyo tena vijana wanapenda kuamkiwa "shikamoo "maana wakiongozana kisha kikatokea kibinti umri wa huyo kijana kikimuamkia huyo ajuza na dogo nae ataitikia.