Mondi yupo mbali sana.Jamaaa ana juhudi sio kitoto...!! Anastahili mafanikio aliyo nayo, hayupo msanii mwingine bongo wa kukichafua hvi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mondi yupo mbali sana.Jamaaa ana juhudi sio kitoto...!! Anastahili mafanikio aliyo nayo, hayupo msanii mwingine bongo wa kukichafua hvi
naomba siku moja nikuogeshe ukishapakwa mapovuUkiwa hater inabidi uwe na info zote muhimu kuzimwaga pale panapofaa. Napenda kuoga mapovu yenu hahahaha
Juzi Diamond Platnumz alikuwa Guinnea Bissau akipiga show ,
Wimbo wa mdogo mdogo ulipopigwa uwanja wote ulizizima na ikawa shangwe kila Kona chek video, video ni fupi ya dk moja
Huyo ana hasira na mondi baada ya mondi kumtema zari ndio kinachomkera hicho Hadi sasa hiv.HAhahaa.... aisee huyu Numbisa sijiu Mondi alimkoseaga nini..??
Huyo ana hasira na mondi baada ya mondi kumtema zari ndio kinachomkera hicho Hadi sasa hiv.
Mkuu tudokezee sababu make domo anadai ye ndo aliiingia mitini...
Mondi alikataa kumkulaHAhahaa.... aisee huyu Numbisa sijiu Mondi alimkoseaga nini..??
Ila wajumbw aisee kmmke[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mondi alikataa kumkula