Video: Mafuriko Mbeya

Video: Mafuriko Mbeya

EvilSpirit

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2017
Posts
10,576
Reaction score
16,644
Mafuriko Mbeya

 
Aisee mimi kukaa kwangu kote Mbeya sijawahi kushuhudia mafuriko

Au hsta kufikiria tu kuwa mazingira yale ni rafiki kwa mafuriko napo sijawahi.

Au labda ni maeneo fulani yenye tambarare kama Usangu na Ubaruku?
 
Aisee mimi kukaa kwangu kote Mbeya sijawahi kushuhudia mafuriko

Au hsta kufikiria tu kuwa mazingira yale ni rafiki kwa mafuriko napo sijawahi.

Au labda ni maeneo fulani yenye tambarare kama Usangu na Ubaruku?
Uko mbeya pande zipi
 
Maji ya njia zake za asili tangu mababu, sasa we jenga ufurahie ila siku mvua ikipiga ya haja yatakupigia hodi mle wote chakula cha usiku.
 
Itakuwa Kyela labda,Mbeya mjini sina uhakika
Aisee mimi kukaa kwangu kote Mbeya sijawahi kushuhudia mafuriko

Au hsta kufikiria tu kuwa mazingira yale ni rafiki kwa mafuriko napo sijawahi.

Au labda ni maeneo fulani yenye tambarare kama Usangu na Ubaruku?
 
Back
Top Bottom