VIDEO: Mama yake Diamond Platnumz alimtembelea Hamisa Mobeto hospitalini

Sasa kuna watoto wa public wanaopata kuwa ambassadors wa maduka ta nguo na kuna wa private wanaotembelewa na familia mjini sihami
 
Fanya na wewe basi utoboe
 
Waende na Zari mdogo mdogo, if they will f**k her up she will f**k them big time.
 
Jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza. Kabla ya zari kuwa na dai alikuwa na bwana wengine so alishaaachana na ivan kitambo sana.
Psychologically, kutokana hii comment inaonyesha kabisa zari is so lonely but just attention seeker. Alitema BigG kwa karanga za kuonjeshwa. Kuna kitu kitalipuka time will tell. Zimu likujualo..........

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nice [emoji106] one

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…