[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Docs za gari analomiliki Bashite alilopewa na watuhumiwa wa madawa ya kulevya uliziona na ulibisha sana,
Sasa hizi hata zikiletwa si utakuja na mapovu yale-yale??
Kwani mtu akijufungua si watu huwa wanaenda kumuona kumpa hongera. Sasa what is so special kwa familia ya Diamond kwenda kumuona mwanamke aliyejifungua?
Hizi habari zenu za udaku pelekeni kwa vilaza wenzenu facebook hukoBaada ya mda mrefu kuibuka maneno ya chini chini kuwa Mtoto aliyejifungua Hamissa mobeto ni wa Diamond Platnumz huku Mama Diamond na Diamond mwenyewe wakishindwa kukana tuhuma hizo
Siku ya jana Ijumaa kamera za shilawadu ziliwanasa live hospitalini Mama Diamond,Mama Rommy na Esmaplatnumz hospitalini wakitoka kumjulia hali Hamissa Mobeto
Najua vizuri sana wote wakina Farouk na yule bondia lakini wote walikua michepukoJambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza. Kabla ya zari kuwa na dai alikuwa na bwana wengine so alishaaachana na ivan kitambo sana.
yule nae si attention seeker tuu,,,umaarufuLakini Hamisa ni binti mzuri sana why is she making herself the second best?
Najua vizuri sana wote wakina Farouk na yule bondia lakini wote walikua michepuko
Sent using Jamii Forums mobile app
Na mamaake dai pia na famiLiia nzimaKiki ya Hamisa imefanikiwa kwa 100%
Wahusika katika movie hii ni
1. Hamisa
2. Diamond
3. Zari
4. Mpachika mimba wa Hamisa
Wengine wahusika wadogo wadogo.
Hili ni igizo.
Mwisho wa movie ni kuzaliwa kwa movie nyingine.
Lakini kwa namna hii aise. Nimemuona Hamisa naye eti kafungua Account kwenye IG ya mtoto wake. Full kuigiza na kaiweka private eti @tanzanian_baby. Haya ni maigizo 100%
NJAA KALILakini Hamisa ni binti mzuri sana why is she making herself the second best?