Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kuna nini Bakhmut hadi Warusi wameamua kujitoa mhanga almradi wasiipoteze, wanauawa kila siku lakini wamekomaa kishenzi hadi wanatia huruma, jameni mbona Putin atakua na wakati mgumu kueleza Warusi nini ilikua maana ya uchizi wote huu...
![]()
NonsenseLIPUMBA NI MWELEVU SANA UKIMLINGANISHA NA PUTIN.
Lipumba ana hofu ya Mungu hata ukimtizama usoni anaonesha hivyo tofauti na fashisti Putin muuwaji aliyekubuhu!LIPUMBA NI MWELEVU SANA UKIMLINGANISHA NA PUTIN.
Putin ni mpumbavu sana.Nonsense
Ungemaliza kutawaza kwanza sasa umemaliza kunya tu unakurupuka na habari ambazo zipo katika decomentary stori mpaka za miaka ya nyuma zipo humo acha propaganda za YouTube unajishushia uaminifu sisi blogs ya YouTube hatuangaliagi View attachment 2460927View attachment 2460928
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Putin ameanza kulalamika US na Ulaya zinataka kuiteka Urusi kwenye uwanja wa vita na baadae waifanye Urusi iwe koloni lao.Hivi kuna nini Bakhmut hadi Warusi wameamua kujitoa mhanga almradi wasiipoteze, wanauawa kila siku lakini wamekomaa kishenzi hadi wanatia huruma, jameni mbona Putin atakua na wakati mgumu kueleza Warusi nini ilikua maana ya uchizi wote huu...
![]()
Ukimuangalia tu usoni unagundua wazi kwamba jamaa ana upumbavu mwingiPutin ni mpumbavu sana.
Ngoja wawachakaze tu hakuna namna [emoji848]Hivi kuna nini Bakhmut hadi Warusi wameamua kujitoa mhanga almradi wasiipoteze, wanauawa kila siku lakini wamekomaa kishenzi hadi wanatia huruma, jameni mbona Putin atakua na wakati mgumu kueleza Warusi nini ilikua maana ya uchizi wote huu...
![]()
Hivi kuna nini Bakhmut hadi Warusi wameamua kujitoa mhanga almradi wasiipoteze, wanauawa kila siku lakini wamekomaa kishenzi hadi wanatia huruma, jameni mbona Putin atakua na wakati mgumu kueleza Warusi nini ilikua maana ya uchizi wote huu...
![]()
Video nyingine hii hapa,warusi wanakaangwa kwa grenades kama umbwa
After the onslaught of the 10th Mountain Assault Brigade, russian invaders made the only correct decision - to surrender.
That's how it should be.
Polepole mtazoea tu,kama inauma chomoaPunguza propaganda we fala. Ukraine wanaweza maigizo. Sasa haya maigizo ya wazi ndio unaleta kwa watu wenye akili kweli!!???
Usirudie ujinga
Punguza propaganda we fala. Ukraine wanaweza maigizo. Sasa haya maigizo ya wazi ndio unaleta kwa watu wenye akili kweli!!???
Usirudie ujinga