Video: Mamluki wa Urusi, Wagner group wauawa kama nguruwe

Video: Mamluki wa Urusi, Wagner group wauawa kama nguruwe

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Hivi kuna nini Bakhmut hadi Warusi wameamua kujitoa mhanga almradi wasiipoteze, wanauawa kila siku lakini wamekomaa kishenzi hadi wanatia huruma, jameni mbona Putin atakua na wakati mgumu kueleza Warusi nini ilikua maana ya uchizi wote huu...

maxresdefault.jpg


 
Video nyingine hii hapa,warusi wanakaangwa kwa grenades kama umbwa

After the onslaught of the 10th Mountain Assault Brigade, russian invaders made the only correct decision - to surrender.
That's how it should be.
 
Hivi kuna nini Bakhmut hadi Warusi wameamua kujitoa mhanga almradi wasiipoteze, wanauawa kila siku lakini wamekomaa kishenzi hadi wanatia huruma, jameni mbona Putin atakua na wakati mgumu kueleza Warusi nini ilikua maana ya uchizi wote huu...

maxresdefault.jpg



Ungemaliza kutawaza kwanza sasa umemaliza kunya tu unakurupuka na habari ambazo zipo katika decomentary stori mpaka za miaka ya nyuma zipo humo acha propaganda za YouTube unajishushia uaminifu sisi blogs ya YouTube hatuangaliagi
Screenshot_20221228-125841.jpg
Screenshot_20221228-125828.jpg
 
Hivi kuna nini Bakhmut hadi Warusi wameamua kujitoa mhanga almradi wasiipoteze, wanauawa kila siku lakini wamekomaa kishenzi hadi wanatia huruma, jameni mbona Putin atakua na wakati mgumu kueleza Warusi nini ilikua maana ya uchizi wote huu...

maxresdefault.jpg


Putin ameanza kulalamika US na Ulaya zinataka kuiteka Urusi kwenye uwanja wa vita na baadae waifanye Urusi iwe koloni lao.
 
Hivi kuna nini Bakhmut hadi Warusi wameamua kujitoa mhanga almradi wasiipoteze, wanauawa kila siku lakini wamekomaa kishenzi hadi wanatia huruma, jameni mbona Putin atakua na wakati mgumu kueleza Warusi nini ilikua maana ya uchizi wote huu...

maxresdefault.jpg


Ngoja wawachakaze tu hakuna namna [emoji848]

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
 
Hivi kuna nini Bakhmut hadi Warusi wameamua kujitoa mhanga almradi wasiipoteze, wanauawa kila siku lakini wamekomaa kishenzi hadi wanatia huruma, jameni mbona Putin atakua na wakati mgumu kueleza Warusi nini ilikua maana ya uchizi wote huu...

maxresdefault.jpg



Noma sana hii vita
 
Video nyingine hii hapa,warusi wanakaangwa kwa grenades kama umbwa

After the onslaught of the 10th Mountain Assault Brigade, russian invaders made the only correct decision - to surrender.
That's how it should be.

Punguza propaganda we fala. Ukraine wanaweza maigizo. Sasa haya maigizo ya wazi ndio unaleta kwa watu wenye akili kweli!!???
Usirudie ujinga
 
Punguza propaganda we fala. Ukraine wanaweza maigizo. Sasa haya maigizo ya wazi ndio unaleta kwa watu wenye akili kweli!!???
Usirudie ujinga
Polepole mtazoea tu,kama inauma chomoa

This PMC Wagner position has been overrun by Ukrainian troops of the 54th Mechanized Brigade near Bakhmut. In the video I count 6 eliminated Russians but the source speaks of up to 60 casualties. #Ukraine #Bakhmut


Ukrainian Drones deliver some presents to the Russians near Bakhmut.
 
Back
Top Bottom