Video: Mamluki wa Urusi, Wagner group wauawa kama nguruwe

Video: Mamluki wa Urusi, Wagner group wauawa kama nguruwe

Naye PUTIN anapumuliwa kisogoni
Screenshot_2023-02-23-08-03-04-634_com.quoord.jamiiforums.activity.jpg
Screenshot_2023-02-23-12-54-37-538_com.miui.gallery.jpg
Screenshot_2023-02-25-18-05-02-961_com.quoord.jamiiforums.activity.jpg
Screenshot_2023-03-01-10-49-26-503_com.android.chrome.jpg
 
Umekurupuka kutoka msikitini haujakaa uelewe nini kinaendelea, kama mumerogwa maustadh.
acha kuhusisha ushabiki wenu na Imani za Watu. Andikeni chochote lakini msitaje msikiti wala makanisa hizo ni Imani za watu
 
acha kuhusisha ushabiki wenu na Imani za Watu. Andikeni chochote lakini msitaje msikiti wala makanisa hizo ni Imani za watu

Tatizo huko kwenye hizo imani ndio mnaaminishana vitu vya kijinga, eti sasa hivi nyote mumeshikamana kushabikia udhalimu unaofanywa na Urusi ili muikomoe Marekani kisa imani yenu mumelishwa chuki dhidi ya Marekani na la kushangaza hiyo hiyo Marekani wengi huwa mnaomba visa mkaishi maisha wanayoishi.
 
Video nyingine hii hapa,warusi wanakaangwa kwa grenades kama umbwa

After the onslaught of the 10th Mountain Assault Brigade, russian invaders made the only correct decision - to surrender.
That's how it should be.

Kwa hiyo,walikwenda vitani na wakampeleka mpiga picha? Kumbe dunia ya leo raha eh
 
Hivi kuna nini Bakhmut hadi Warusi wameamua kujitoa mhanga almradi wasiipoteze, wanauawa kila siku lakini wamekomaa kishenzi hadi wanatia huruma, jameni mbona Putin atakua na wakati mgumu kueleza Warusi nini ilikua maana ya uchizi wote huu..
Wengi wa walio - front ni mamluki, si raia
 
Back
Top Bottom