Video: Manara aomba radhi kwa Waziri na kusonya mwishoni

Video: Manara aomba radhi kwa Waziri na kusonya mwishoni

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Episodes za sope takadini zinaendelea, ama kwa hakika ni burudani juu ya burudani,msione watu wana mafuvu jamani mengine hayajahifadhi akili, ni makasha ya kuhifadhia meno ambayo kwa bahati mbaya kwa wengine hata mswaki hayajui ni nini.

Haya waziri umeombwa radhi kwa kupewa makavu siku ya press conference maana ulinangwa kwelikweli kwamba ulikazia hukumu yake kwa mbwembwe .... halafu mwishoni mwa msamaha huu kuna ka msonyo fulani hiviiiiiiiii


 
Hajasonya bali ametoa sauti ya Tcha(tsa) kama kuonyesha amechoka au kusikitika tu i.e kwa makosa aliyofanya anajilaumu.
 
Huo msamaha wenyewe tu unaonekana ni kama kashurutishwa sio kwa hiari yake

Alimuomba msamaha alipokuwa anahojiwa na maulid kitenge kwa njia ya simu,watu ndio waka criticize kuwa, kwakua alimchafua mbele ya camera tena kwenye nyomi la waandishi wa habari

Hakupaswa aombe msamaha kwa njia hii ya simu, naona kaamua kujirekodi ili kufikia nusu ya kile ambacho alitakiwa akifanye kwenye press.
 
Back
Top Bottom