njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
radhi zenyewe sijui analazimishwaga? atleast hii hajasema kama nimekosea nisameheni kama radhi nyinginezo, sema mwishoni kasonya kabisa na editor hakukataJamaa atapotea kwenye ramani ya mpira, walikuwa wanamfanyia time anjichanganye na wamempata
Ameota mapembe, aliona matamasha ya mpira wanamtegemea yeye tu kwa hamasa, sasa hivi katulia hiyo ndo nguvu ya taasisi, huwezi kushindana na taasisiKuna siku nilisema humu .huyu wakimchekea IPO siku atakuja kumtukana Samia
Albino anaamini waziri,karia,mo dewji,barbraa wanamuonea wivu kisa maarufuWamfungie maisha hatutaki makelele mpira wa siku hizi unahitaji weledi na pesa.
Umaarufu kitu gani hapa bongo ikiwa hata Mandonga kaupata?Albino anaamini waziri,karia,mo dewji,barbraa wanamuonea wivu kisa maarufu